WAKULIMA WA UFUTA WILAYA YA SONGWE WAINGIZA SH3 BILIONI MNADA WA KWANZA
Wakulima wa ufuta katika wilaya ya Songwe wameingiza zaidi ya Sh3 bilioni kwenye mnada wa kwanza wa ufuta wa msimu wa biashara wa 2026/27 uliofanyika Ijumaa, Mei 8, 2026. Mnada huo uliofanyika kupitia mfumo wa kidijitali uliuza tani 1,923 za ufuta ndani ya saa chache, huku zaidi ya kampuni 10 zikishiriki kununua. Akizungumza wakati wa mnada huo, Ofisa Mwandamizi wa Uendeshaji wa Biashara wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Justa Martini, amesema mwitikio wa soko ulikuwa mzuri na ushindani kati ya wanunuzi ulisaidia kupandisha bei. “Leo tumefanya mnada wa kwanza wa ufuta kwa Mkoa wa Songwe. Tulileta tani 1,923 sokoni na mnada ulienda vizuri, huku zaidi ya kampuni 10 zikishiriki,” amesema. Kwa upande wake mkulima wa ufuta kutoka Songwe wamesema mnada umeenda vizuri na umeridhisha. Mbali na mkulima huyo Pelagia Joseph mkulima wa ufuta ameshukuru kwa mnada ulivyoendeshwa. Mnada unaofuata wa ufuta unatarajiwa kufanyika Kamsamba, Mei 9, 2026 Wilaya ya Momba, ambapo wadau wanatarajia biashara kuendelea vizuri na bei kubaki nzuri kadri mazao zaidi yatakavyoingia sokoni.

NDOTO NDOGO HADI MAFANIKIO MAKUBWA, MFANYABIASHARA IRINGA ASIMULIA SAFARI YA UTAFUTAJI, KUISHI NDOTO

WAKULIMA MOMBA WARIDHIA KUUZA UFUTA KWA SH2,714.90

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MTAMA LINDI WARIDHIA KUUZA UFUTA KWA SH2,740

PART 1; MTAZANIA MSOMI ZAIDI/HILI NDILO KABURI LANGU/NIMEIMBA NA MKE WA KIKWETE

MTANZANIA ANAYEFUNDISHA MARUBANI CANADA, MAMA YAKE ASIMULIA ALIVYOTELEKEZWA “NIMETUMIA MIL.500”

SIKIA NEEMA HII ILIYOWASHUKIA WAKULIMA WA UFUTA, SASA BEI ELEKEZI KUTUMIKA KUKWEPA WALANGUZI

BILIONEA MULOKOZI - ''MARAFIKI WENGI WALINIKIMBIA - NAJENGA NYUMBA NYINGINE ya NDOTO YANGU''...

BILIONEA MULOKOZI AKUBALI KUSIMULIA KILICHOMTAJIRISHA "NILIANZA NA MTAJI WA MILIONI 20" - EPISODE 3

DC NKURLU AFUNUA RASMI MSIMU WA UFUTA MKOA WASONGWE

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).

PART I: BILIONEA ALIYEACHA KAZI YA SERIKALI NA KUTIKISA KILIMO CHA PARACHICHI NJOMBE

WAKULIMA WA UFUTA TUNDURU WAMEUZA UFUTA KWA KILO TSH. 3,895/= KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

UFUGAJI MBUZI, UZAO MAPACHA 2 HADI 3, MBEGU BORA KIBIASHARA, UZOEFU WA MFUGAJI, KUZAA MARA 3

UFUTA KUWA NGUZO YA UCHUMI SONGWE

RC RUVUMA AZINDUA MNADA WA UFUTA NAMTUMBO

BEI YA UFUTA YAPAA SOKONI IGUNGA.

How Egypt Is Turning The Sahara Desert Into A Massive New Nile Delta To Feed Millions

UWANJA WA ARUSHA KAMA ULAYA, WAFIKIA ASILIMIA 83,.

