WAKULIMA MOMBA WARIDHIA KUUZA UFUTA KWA SH2,714.90
Songwe. Tabasamu na matumaini vimeanza kuonekana kwa wakulima wa zao la ufuta katika Wilaya ya Momba, mkoani Songwe, kufuatia kufanyika kwa mafanikio mnada wa kwanza wa zao hilo kupitia mfumo wa soko la kidijitali. Kwenye mnada huo wa kwanza katika Wilaya ya Momba ambao umefanyika Mei 9, 2026, jumla ya tani 928 za ufuta zimefikishwa sokoni na kuuzwa zote. Bei iliyopatikana pia imepokewa vyema na wakulima, bei ya juu ikiwa Sh2,740 na ya chini Sh2,655 na hivyo kupata wastani wa Sh2714.90 kwa kilo moja. Kwa upande wa wakulima, mnada huo umeonekana kuwa mwanzo wa mabadiliko makubwa katika biashara ya ufuta. Jumapili Daud, mkulima wa zao hilo katika Wilaya ya Momba, amesema wameridhishwa na bei zilizopatikana kulingana na mwenendo wa hali ya soko ilivyo hivi sasa. Ofisa Mwandamizi wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Justa Martini amesema zaidi ya kampuni 10 zimeshiriki katika mnada huo na kuonyesha ushindani mkubwa wa ununuzi wa zao hilo. Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano ya Umma na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko, Theresia Christian amesema mnada huo umeonyesha namna ambavyo teknolojia ya kidijitali inaweza kuwaleta pamoja wakulima na wanunuzi kwa uwazi zaidi.

NDOTO NDOGO HADI MAFANIKIO MAKUBWA, MFANYABIASHARA IRINGA ASIMULIA SAFARI YA UTAFUTAJI, KUISHI NDOTO

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

Belfast riots see refugees in UK under fresh attack, Sam Kiley reports

President Trump calls off new strikes on Iran

#Live: BAJETI KUU YA SERIKALI IKISOMWA BUNGENI DODOMA

PART 1; MTAZANIA MSOMI ZAIDI/HILI NDILO KABURI LANGU/NIMEIMBA NA MKE WA KIKWETE

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

Mafanikio Makubwa ya Vijana Madaba Kupitia Mikopo ya Asilimia 10, Walivyobadilisha Maisha Yao.

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

U.S. military fires on tanker in Gulf of Oman

MTANZANIA ANAYEFUNDISHA MARUBANI CANADA, MAMA YAKE ASIMULIA ALIVYOTELEKEZWA “NIMETUMIA MIL.500”

UFUGAJI MBUZI, UZAO MAPACHA 2 HADI 3, MBEGU BORA KIBIASHARA, UZOEFU WA MFUGAJI, KUZAA MARA 3

Watch Moment US Missile Strikes 3rd Tanker For Violating Gulf of Oman Blockade

Budget 2026/27: What Tanzanians, businesses and investors want to see

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

Elon Musk FUELS Belfast protests after Sudanese immigrant STABS man; Riots ERUPT | RISING

PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

NILIMFAHAMU KUPITIA VIDOLE VYAKE NA ALAMA YA MKONONI-MAMA TEMBA ALIYEULIWA NA KUKATWA KICHWA

'Ufuta nimevuna kwa wingi ila sasa kwenye soko, bei imeporomoka mno'

