DIWANI MASHAKA MAGU MJINI SEKONDARI KUFUNGULIWA JANUARI 2023
@Magu mjini. Diwani wa Kata ya Magu mjini Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Mhe: Mashaka Mathias kwa furaha kubwa ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea fedha 470 milioni kwa jili ya kujenga shule mpya ya sekondari ya mfano katika Kata hiyo. Diwani Mashaka ameeleza kuwa Kata ya Magu mjini ilikuwa na kilio cha ukosefu wa Shule, kufuatia juhudi za Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Magu Boniventura Destery Kiswaga kuibana Serikali ili kumaliza kulio hicho hatimaye Serikali ilisikia na kutoa fedha za mradi, ambapo wananchi wa Kata ya Magu mjini walichangia ununuzi wa eneo kwa kukusanya jumla ya 14 milioni. Ujenzi umedumu kwa miezi tisa na hatimaye umefikia 98% hivo kuwezesha shule hiyo ya kisasa iliyojengwa kwa ubora wa hali juu inatarajiwa kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023. Imetolewa na Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Magu. Baruapepe@ [email protected] Simu: +255716094601

MAGU MJINI UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI WAANZA

Tanzania One wa CPA 2022 afichua siri ya kufaulu

TAZAMA MAAJABU YA SHULE YA SEKONDARI DR SAMIA ILIYOPO JIJINI DODOMA

KISWAGA MBUNGE WA MAGU ALIVYOTOA MCHANGO WA KUPONYA UCHUMI WA TAIFA

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma, Bw. Jumanne Mwankhoo akifungua mafunzo

NI MAPAMBANO MAKALI!!MBEZI INN SEKONDARI VS MPIJI MAGOHE/MWAKIFAMBA ATOA UJUMBE MZITO

BMG TV: Mwanzo mwisho, nyumbani kwa Mfalme Zumaridi

#BREAKING: RAIA wa KIHINDI AKAMATWA AIRPORT MWANZA AKITOROSHA MADINI ya SHIL BILIONI 1.7 - KIAMA!

UJENZI UWANJA WA DODOMA WAANZA, UTACHUKUA WATU ZAIDI YA ELFU 32, UTAKAMILIKA NDANI YA MIEZI 24

MAKALA YA MWENGE WA UHURU WILAYA YA MVOMERO MWAKA 2026

Résumé du match entre la Colombie et le Portugal à la Coupe du Monde de la FIFA 2026™!

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

MAJARIBIO SABA YANAYOZUIA UTUMISHI WAKO KWA MUNGU (PART 1).

Hospitali ya Wilaya ya Magu Ina Umri wa Mtu Miaka 40 Ifanyiwe Ukarabati-Mbunge Kiswaga

Maajabu: waumini wageuka MAZOMBI Kabla ya Mfalme Zumaridi kukamatwa na Polisi Mwanza, anapita juu

KISWAGA SERIKALI IONDOE VIKWAZO VYA KIKODI KWA WAWEKEZAJI WAZAWA

ROYAL HOSPITAL MWANZA YAPANDA HADHI NA KUWA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA

MAGU,MWANZA DRONE BY MEDDYSTUDIOS

#Skonga na Vituko vya wanafunzi wa Shule la Nganza Sekondari, Mwanza

