#SOMO LA 01 || UMUHIMU WA KUIJUA LUGHA YA ALAMA YA TANZANIA

Karibu sana katika Darasa la kujifunza lugha ta Alama ya tanzania MAMBO TUTAKAYOJIFUNZA 1. Maana ya Lugha ya alama 2. Wahusika wakuu wa lugha ya alama 3. Je Lugha ya alama ni Moja dunia nzima ? 4. Umuhimu wa kuijua lugha ya Alama ya Tanzania