NIONAPO || LUGHA YA ALAMA YA TANZANIA || EV. JOHN ZACHARIA

Barikiwa sana na wimbo huu wa watoto ulioimbwa kwa lugha ya alama ukiwa na ujumbe wa kumtukuza sana Mungu aliye ziumba mbingu na nchi hakika Mungu wetu anastahili sifa.... Mtunzi wa wimbo ni Mwalimu wa watoto MKALIMANI WA LUGHA YA ALAMA Ev. John Zacharia (M-PESA : 0742 972 252) Chuo kikuu SDA church - Dar es Salaam