WAHOUTH WAISHAMBULIA SAUD ARABIA KWA NGUVU - WALIPUA KITUO CHA MAFUTA - UHARIBIFU MKUBWA WARIPOTIWA

WAHOUTH WAISHAMBULIA SAUD ARABIA KWA NGUVU - WALIPUA KITUO CHA MAFUTA - UHARIBIFU MKUBWA WARIPOTIWA @ONESMO SANGALALI - DAR CC; IDRISA ABDEREMANI WAHOUTH wa Yemen wametangaza kuwa wamefanya mashambulizi ya kulipiza kisasi yaliyolenga miundombinu ya kampuni ya mafuta ya Saudi Aramco katika miji ya Jizan na Yanbu, wakisema operesheni hiyo ni jibu la moja kwa moja kwa mashambulizi yaliyofanywa na Saudi Arabia dhidi ya maeneo mbalimbali nchini Yemen katika siku za hivi karibuni. ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx