NANENANE ARUSHA || Wafugaji wasifu mbegu za ng'ombe kutoka Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC)
Wafugaji wanaofanya shughuli zao Mkoani Arusha wamesema teknolojia ya uhimilishaji wa mifugo hususan Ng'ombe inayotolewa na Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC USA RIVER) ni bora na imeleta mapinduzi makubwa katika uboreshaji wa koosafu za Mifugo yao. Wakiongea kwa nyakati tofauti katika Maonesho ya Wakulima NaneNane kwa Kanda ya Kaskazini yanayofanyika Mkoani humo Agosti 3, 2022, Wafugaji hao walisema mbegu za madume bora ya Ng'ombe zinazozalishwa katika kituo hicho ni nzuri kwani tangu waanze kuzitumie kupandikiza kwa Ng'ombe wao imesaidia kuboresha kosafu huku uzalishaji wa maziwa na nyama ukiongezeka maradufu tofauti na hapo awali.

▶︎
#TBC-SHAMBANI : FAHAMU KUHUSU UNENEPESHAJI WA NG'OMBE

▶︎
#TAZAMA| KIMEUMANA!! MEYA ALIVYOKAMATA GARI LA JIJI LA ARUSHA LIKISAFIRISHA BIDHAA BINAFSI

▶︎
Kilimo Almasi | Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

▶︎
She Was Trying to Cut It With Scissors and The Grass Was Taller Than My Mowers

▶︎
MBWA MKUBWA ANAYEUZWA MILIONI 30 ARUSHA, AWA KIVUTIO MAONESHO YA NANE NANE

▶︎
Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026

▶︎
Jifunze faida na manufaa ya kupandikiza mbegu kwa ng'ombe

▶︎
JIJINI ARUSHA UNAPATIKANA MRADI WA SAFARICITY #Safaricity

▶︎
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!

▶︎
MIMI NA TANZANIA MAFUNZO UFUGAJI BORA RANCHI YA ASAS IRINGA

▶︎
KIPINDI: MWONGOZO WA MALISHO

▶︎
NG'OMBE GHALI ANAUZWA MILIONI 30, AMENONA, ANA KILO 970, MBEGU ZAKE DILI KUBWA, MMILIKI ANAO 76

▶︎
MAAJABU HOTELI ya MILIONI 80 ya MBWA, WANALISHWA KUKU, WANAOGESHWA, INAMILIKIWA na KIJANA wa ARUSHA

▶︎
JAMAA ARUSHA AMUOMBA RAIS KUMTEUA KUWA DC KWENYE NAFASI za WALIOGOMEA, ASEMA YEYE ni CHAWA MZEE..

▶︎
🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA

▶︎
#TAZAMA| AJALI ARUSHA GARI LA VYUMA CHAKAVU LAANGUKA, MASHUHUDA WASIMULIA...

▶︎
MBEGU BORA ZA UHIMILISHAJI KUTOKA NAIC KUNUFAISHA WAFUGAJI.

▶︎
Mbosso Atembelea Shamba la Tangafresh (Tanga,Tanzania)

▶︎
#SILVERLANDS WANAKULETEA KUKU AINA YA SASSO KATIKA MAONESHO YA NANENANE | MBEYA

▶︎
