#SILVERLANDS WANAKULETEA KUKU AINA YA SASSO KATIKA MAONESHO YA NANENANE | MBEYA
Nanenane ni sikukuu ambayo inawahusu wakulima na wafugaji nchini Tanzania. Jina linatokana na kwamba inaadhimishwa kila mwaka tarehe 8 mwezi wa nane (Agosti). Waziri wa Kilimo alitangaza kuwa kwa Mwaka 2022 maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane kitaifa yatafanyika mkoani Mbeya ambapo yatazinduliwa na Makamowa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango na siku ya kilele cha sikukuu hizo tarehe 8/8 kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mama Samia Suluhu Hassan. Nane Nane Day on 8 August celebrates to recognize the important contribution of farmers to the national Tanzanian economy. Nane Nane means "eight eight" in Swahili, the national language of Tanzania (and of Tanganyika and Zanzibar, the two countries whose union created the United Republic of Tanzania in 1964). Nane Nane also may refer to the Agricultural Exhibition, a one-week fair that takes place every year around this date [8/8] in varying locations of Tanzania. In the Nane Nane Agricultural Exhibition, farmers and other agricultural stakeholders (e.g., universities and research institutes, input suppliers or fertilizer producing industries) showcase new technologies, ideas, discoveries and alternative solutions concerning the agricultural sector. Nane Nane is a fair where government and private firms present their services and activities to the public. Every year the national Nane Nane show takes place in different locations, for example in Ngongo, Lindi Region (2014), while there are also regional Nane Nane shows held in seven zones, namely in Arusha for Northern Zone; Eastern in Morogoro; Lake in Mwanza; Highlands in Mbeya; Southern in Lindi, Mtwara or Songea; Western in Tabora; and Central in Dodoma.

MWANAMKE MILIONEA KUPITIA UFUGAJI WA KUKU NJOMBE MWENYE LENGO LA KUMILIKU KUKU 10,000

UKITAKA KUFANIKIWA SANA KATIKA UFUGAJI BASI FANYA HAYA NINAYOKUSHAURI👆

ZIJUE CAGE BORA ZA KUKU WA KISASA, ENEO DOGO KUKU WENGI

KUKU WENYE THAMANI YA KUANZIA SHILINGI LAKI SABA

SIKU YA KWANZA YA VIFARANGA VYA KIENYEJI NDANI YA BROODER

Ukiwa Na Mtaji wa Tsh 1,500,000/=, Unafuga Sasso 100, FAIDA Tsh 250,000/= Kila mwenzi.

MILIONEA MWANAMKE ALIYEACHA KAZI YA KAMPUNI NA KUANZA UFUGAJI WA KUKU NJOMBE

RAISING 300 SASSO BREED OF CHICKEN IN MY FARM//poultry farming in Kenya

JOGOO LA MAAJABU, ANAUZWA LAKI 3, YAI LAKE MOJA ELFU 20, ANAYEMFUGA AFUNGUKA - "NI MKUBWA DUNIANI"

Mzungu wa Kichaga

KATI YA SASSO NA KROILER ANAYEFAA KWA BIASHARA YA HARAKA YA NYAMA NI SASSO

Namna ya kufuga kuku aina ya SASSO

UFUGAJI WA KUKU, BIASHARA NZURI NA YENYE KIPATO KIZURI UKIZINGATIA HAYA @BBCNewsSwahili

TUMIA MBAO KUTENGENEZA LOCAL CAGE YA GHARAMA NAFUU SANA KWA UFUGAJI BORA WA KUKU KIBIASHARA.

MAMA KUCHI:NINA MIAKA 70/ UZEE SIYO KIFO/NILIANZA NA KUKU WATANO SASA NINA KUKU 500

JINSI YA KUZUIA VIFO VYA VIFARANGA NDANI YA SIKU 14 ZA KWANZA

USHAURI KABLA HUJAANZA KUFUGA KUKU ZINGATIA MAMBO HAYA #kilimoufugaji

KIJANA MWENYE NDOTO ZA KUWA BILIONEA KWA UFUGAJI WA KUKU

Fahamu tofauti zilizopo kati ya kuku chotara aina ya Kuroiler na Sasso

