Producer wa Mwanza ya RAY VANNY, I Miss U ya HARMONIZE, Raha ya MARIOO, Black afunguka KUACHA muziki
Wiki hii producer Digunge Mtunda Khabhenga Black Beatz amewashtua mashabiki wa muziki wa Tanzania baada ya kudai anaachana na muziki. Black ambaye anatokea Morogoro, ametayarisha hits kibao zikiwemo Raha, Ifunanya, Manyaku, Anyinya za Marioo, Hakuna Kulala ya Zuchu, Mwanza ya Ray Vanny, I Miss You ya Harmonize, Vunga ya Rapcha na zingine. Kazi zake latest ni Temptation na Uncle za BrianSimba na pia akihusika kutayarisha album nzima ya Brian ‘Uncle’ itakayotoka August mwaka huu. Amefanya production kadhaa kwenye album ijayo ya Tommy Flavour, Heir To The Throne. Nimezungumza naye kwa kina kuhusiana na uamuzi wake, na ameniambia sababu za kuamua hivyo. Pia nimezungumza na Brian Simba, Rapcha na Tommy Flavour kuhusiana na walivyozichukulia taarifa hizo

Blacq Beat: Producer wa Mwanza ya Ray Vanny/ Diamond, Serious Love Harmonize, Hakuna Kulala - Zuchu

GPS: IRAN yaishambulia ISRAEL, wananchi washerehekea TRUMP amtaka NETANYAHU asilipize KISASI

MSICHANA ALIYEUZWA… AKAISHIA KUVALISHWA PETE 💍😭

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

KAULI YA ALIKIBA KUHUSU WCB IMEZUA MASWALI MENGI KWA MASHABIKI

Producer BLACK amtaja THE MIX KILLER/amuweka wazi mwizi wa kazi ya HARMONIZE/ Marioo na Cheed

LIVE: HALIMA KURUDI CHADEMA, Said AFUKUZWA, MTOTO WA LISSU AVUNJA UKIMYA, Kihongosi AITISHA MDHALO

Communion avec soi-même - Prières inspirées - Jérémy Sourdril

UZINDUZI WA STUDIO YA PRODUCER MARCHODY MWENYE MASTERS ALIYEKATAA KUAJIRIWA NA KUKOMAA KWENYE MUZIKI

NIMEKUJA ZANZIBAR TOKEA 1999 KENYA NIMEKUA MGENI SHEIKH OTHMAN

UCHEBE YANGA MO KAFANYA KUFURU USAJILI WA MAYELE/YANGA TUAHE WACHEZAJI HAWA

MAFEELING TZ/SIKUAMINI KAMA NAUWEZO WA KUMTOA, DAYOO PLATFORM /MAPENZI YANACHANGANYA MAISHA PIA

Iran yashambulia Israel, na Israel yashambulia Iran vita imerejea rasmi

ESCO na SKY wakumbushia walivyoswekwa RUMANDE kisa content hii! ‘Uhuru ni kitu cha thamani sana’

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

Qiso Cajiib ah - Barbaarintii Nabi Muxamed SCW || Sh Xassan Abu Salaman

SHEIKH JAMALI AMVUA WAZIRI MKUU HADHARA!

WARKA SUBAX EE KNN 18 1 2026

KANISA KATOLIKI LATIKISA NCHI, HII HAIJAWAI TOKEA,NI KUFURU!.

