UZINDUZI WA STUDIO YA PRODUCER MARCHODY MWENYE MASTERS ALIYEKATAA KUAJIRIWA NA KUKOMAA KWENYE MUZIKI

Kutana na producer Davy Marchody aliyetengeneza Hit songs kadhaa kama Gusanisha ya Gnako, Kandance ya Maua na nyingine nyingi.. Usiku wa kuamkia leo Prodcer Marchod amezindua studio zake maeneo ya Sinza Daresalaam, studio ambayo alianza kuinunulia vifaa miaka mitatu iliyopita huku likiwa ni wazo lake miaka 10 Nyuma toka Alipoanza kuingia kupambania muziki. Producer Marchody ana Masters ya Biashara aliyechukua katika chuo kikuu cha UDSM na hapa amefunguka Safari yake mpaka kukamilisha hili. PLAY Kutazama.