DKT.MPANGO AIAGIZA TAMISEMI KUWASIMAMIA WAHUDUMU WA AFYA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amezielekeza Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais - TAMISEMI na Mamlaka nyingine zinazohusika kuhakikisha kunakuwepo na usimamizi madhubuti wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii ili uweze kufikia malengo yaliyokusudiwa. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa uzinduzi wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii uliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Amesema ni lazima kuweka mfumo mzuri wa uratibu wa shughuli za mpango huo na kuhakikisha taarifa za utekelezaji zinapatikana ikiwemo kutumia mifano ya kidijitali

▶︎
SHAJARA || Mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii na ufanisi wake

▶︎
JAMII KUCHAGUA WAHUDUMU WAO WA AFYA NGAZI YA JAMII PWANI

▶︎
Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

▶︎
Kenya Literature Bureau Strategic Plan 2025-2030 Launch

▶︎
MAMBO MAKUU MANNE KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII

▶︎
WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII NI MUHIMU

▶︎
| SUNDAY LIVE | THE JIMI WANJIGI PLAN

▶︎
SERIKALI YATANGAZA AJIRA 137,294 KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII, COMMUNITY HEATLTH WORKERS

▶︎
How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

▶︎
BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

▶︎
SENTINELS OF ENGARUKA FILM

▶︎
Northern Cape Provincial BudgetVote 10 : Department of Health Thursday 25 June 2026

▶︎
MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUPUNGUZA IDADI YA WAGONJWA

▶︎
Gachagua Even Though Ruto Betrayed You Stop Being Bitter or Else utakufa tu!Musalia Mudavadi Warns!

▶︎
Rescuers Sift Through Destruction After Massive Earthquakes Hit Venezuela

▶︎
BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

▶︎
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU: "NIMEFURAHI KUPATA KIJANA YOHANA ANTONY NAAMINI ATATUFANYIA KAZI"

▶︎
Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

▶︎
