MNYIKA: MALALAMIKO DHIDI YA VIONGOZI YAPITIE VIKAO RASMI, SIYO MITANDAONI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , John Mnyika, amesema viongozi wa chama wenye malalamiko dhidi ya viongozi wenzao wanapaswa kufuata taratibu za chama kwa kuwasilisha malalamiko rasmi yenye ushahidi na kuyawasilisha katika vikao vya chama, badala ya kuyapeleka kwenye vyombo vya habari na mitandaoni. Mnyika amesema hatua zilizochukuliwa dhidi ya baadhi ya wanachama na viongozi zilizingatia katiba, kanuni na maadili ya CHADEMA. Aliongeza kuwa mwanachama yeyote ambaye hajaridhika na maamuzi hayo ana haki ya kukata rufaa kupitia utaratibu uliowekwa na chama. Ameeleza kuwa kabla ya matukio hayo, uongozi wa chama ulikuwa umepokea taarifa za kuwapo kwa watu waliokuwa wakiwashawishi baadhi ya viongozi kufanya mikutano na waandishi wa habari kwa madai ya kupewa fedha ili kutoa tuhuma dhidi ya viongozi wa chama.

SEFUE AZUNGUMZIA MAANDAMANO, GEN Z NA CHANGAMOTO ZA MALEZI
▶︎

SEFUE AZUNGUMZIA MAANDAMANO, GEN Z NA CHANGAMOTO ZA MALEZI

BALAA WAZIRI KATAMBI HANA PAKUTOKEA SAKATA LA ZUIO LA MIKUTANO/WADAU WAMKALIA KOONI  AFUNGULIWA KESI
▶︎

BALAA WAZIRI KATAMBI HANA PAKUTOKEA SAKATA LA ZUIO LA MIKUTANO/WADAU WAMKALIA KOONI AFUNGULIWA KESI

🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola
▶︎

🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola

"NA HAO NI MABEBERU"?TANZANIA YAENDELEA KUWEKWA MTU KATI KULIKONI
▶︎

"NA HAO NI MABEBERU"?TANZANIA YAENDELEA KUWEKWA MTU KATI KULIKONI

MHADHARA WA UMMA WA PPP CHUO KIKUU SUA: KAFULILA ATOA DARASA LA UBIA KATI YA SEKTA BINAFSI NA UMMA
▶︎

MHADHARA WA UMMA WA PPP CHUO KIKUU SUA: KAFULILA ATOA DARASA LA UBIA KATI YA SEKTA BINAFSI NA UMMA

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA
▶︎

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa
▶︎

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa

"SISI SIYO MBUMBUMBU!" Dk. BANA AVUNJA UKIMYA KINACHOKWAMISHA MARIDHIANO; "CHADEMA HAIWEZI KUPUUZWA"
▶︎

"SISI SIYO MBUMBUMBU!" Dk. BANA AVUNJA UKIMYA KINACHOKWAMISHA MARIDHIANO; "CHADEMA HAIWEZI KUPUUZWA"

Lissu Kuachiwa- Warioba, Tibaijuka Watajwa na Wadau Usuluhushi wa Mkwamo wa Kisiasa Tanzania
▶︎

Lissu Kuachiwa- Warioba, Tibaijuka Watajwa na Wadau Usuluhushi wa Mkwamo wa Kisiasa Tanzania

DAWA YA RUTO! Listen to new Ol Kalou MP Kamau Ngotho Powerful remarks today destroying Kasongo badly
▶︎

DAWA YA RUTO! Listen to new Ol Kalou MP Kamau Ngotho Powerful remarks today destroying Kasongo badly

AMERIKA NA IRAN BYONGEYE KWESURANA // INZIRA YA HURMUZ YONGEYE GUFUNGWA - KNC NA MUTABARUKA
▶︎

AMERIKA NA IRAN BYONGEYE KWESURANA // INZIRA YA HURMUZ YONGEYE GUFUNGWA - KNC NA MUTABARUKA

HECHE RESPONDS TO THE ATTACKS AGAINST HIM: "I WILL NOT WAVER"
▶︎

HECHE RESPONDS TO THE ATTACKS AGAINST HIM: "I WILL NOT WAVER"

🔴BREAKING:  DCP's Sammy Ngotho wins Ol Kalou by-election with 35, 440 votes
▶︎

🔴BREAKING: DCP's Sammy Ngotho wins Ol Kalou by-election with 35, 440 votes

BITABUSE: MUWANGA KIVUMBI AYOLEKEDE OBUTAKOMAWO..BAMAFIA MUKITONGOLE KYETTAKA BABANO..LUKWAGO AGENDA
▶︎

BITABUSE: MUWANGA KIVUMBI AYOLEKEDE OBUTAKOMAWO..BAMAFIA MUKITONGOLE KYETTAKA BABANO..LUKWAGO AGENDA

MBOWE amtuma ujumbe kwa KAFULILA, waliokimbia Chadema "Walirushiwa mahindi, watarejea"
▶︎

MBOWE amtuma ujumbe kwa KAFULILA, waliokimbia Chadema "Walirushiwa mahindi, watarejea"

HON KASIBANTE AYOGEDDE EBITIISA: SALAMU MUSUMBA NE MUKAAKU BALIRA KU NSIKO:BETAGIBWA MANGU MU KOOTI.
▶︎

HON KASIBANTE AYOGEDDE EBITIISA: SALAMU MUSUMBA NE MUKAAKU BALIRA KU NSIKO:BETAGIBWA MANGU MU KOOTI.

#BREAKING: HECHE SPEAKS OUT FOR THE FIRST TIME ON PROPAGANDA ABOUT STEALING CHADEMA FUNDS, HITS B...
▶︎

#BREAKING: HECHE SPEAKS OUT FOR THE FIRST TIME ON PROPAGANDA ABOUT STEALING CHADEMA FUNDS, HITS B...

JAJI MKUU ACHUKIZWA,MWABUKUSI APEWA RUGU,SIJUI POLISI WANAKUWA WAPI MUNGU ANUNULIWI,Tazam video yote
▶︎

JAJI MKUU ACHUKIZWA,MWABUKUSI APEWA RUGU,SIJUI POLISI WANAKUWA WAPI MUNGU ANUNULIWI,Tazam video yote

Rais samia ajibiwa kauli zake kwamba wanaharakati ni ugaidi Chadema wamvaa vikali
▶︎

Rais samia ajibiwa kauli zake kwamba wanaharakati ni ugaidi Chadema wamvaa vikali

TAHARUKI MBEYA!!!! WANANCHI WACHACHAMAA UONGOZI WA MTAA KUTUMIA MIILI YA WATU KUTANGAZA MKUTANO
▶︎

TAHARUKI MBEYA!!!! WANANCHI WACHACHAMAA UONGOZI WA MTAA KUTUMIA MIILI YA WATU KUTANGAZA MKUTANO