TAHARUKI MBEYA!!!! WANANCHI WACHACHAMAA UONGOZI WA MTAA KUTUMIA MIILI YA WATU KUTANGAZA MKUTANO

TAHARUKI MBEYA!!!! WANANCHI WACHACHAMAA UONGOZI WA MTAA KUTUMIA MIILI YA WATU WALIOUAWAWA KUTANGAZA MKUTANO Katika hali isiyo ya kawaida wananchi wa mtaa wa Itongo kata ya Mwakibete jijini Mbeya wameingia kwenye taharuki baada ya kutangaziwa wafike kwenye ofisi za mtaa huo kutambua mili ya watu wawili ambao wameuawa lakini walipofika ofisini hapo hawakuikuta miili hiyo. Tukio hilo limetokea Ijumaa ya Julai 10 mwaka 2026 majira ya saa kumi na moja alfajiri ambapo wananchi hao wanaeleza kuwa walisikia tangazo linalotolewa na uongozi wa mtaa huo kwamba wanatakiwa kufika katika ofisi za mtaa saa kumi na mbili na nusu asubuhi ili kutambua miili hiyo lakini walipofika ofisini hapo wakaelezwa hiyo ilikuwa ni mbinu ya kuwaita kwenye mkutano kwa kuwa wakitangaziwa kuna mkutano huwa hawahudhurii.

Mfanyabiashara Mbeya 'Amvunja Mbavu' Rais Magufuli
▶︎

Mfanyabiashara Mbeya 'Amvunja Mbavu' Rais Magufuli

live: HECHE AJILIPUA KUJIBU SHUTUMA ZA KULA PESA ZA CHADEMA, AWASHANGAZA WALIOMZUSHIA
▶︎

live: HECHE AJILIPUA KUJIBU SHUTUMA ZA KULA PESA ZA CHADEMA, AWASHANGAZA WALIOMZUSHIA

DUDUBAYA AFUNGUKA BAADA YA KUTUKANA MATUSI MAZITO KWENYE JUKWAA LA MIAKA 30 YA BONGOFLEVA |
▶︎

DUDUBAYA AFUNGUKA BAADA YA KUTUKANA MATUSI MAZITO KWENYE JUKWAA LA MIAKA 30 YA BONGOFLEVA |

TAARIFA YA HABARI - AZAM TV - 11/07/2026
▶︎

TAARIFA YA HABARI - AZAM TV - 11/07/2026

Ayatollah Ali Khamenei azikwa, Marekani ikisema itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.
▶︎

Ayatollah Ali Khamenei azikwa, Marekani ikisema itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

#LIVE: WAKILI MADELEKA ANAZUNGUMZA MUDA HUU
▶︎

#LIVE: WAKILI MADELEKA ANAZUNGUMZA MUDA HUU

KIMENUKA! MADELEKA AJIBU MAPIGO YA UWANAHARAKATI KUWA MAGAIDI/ATOA MIFANO MIZITO
▶︎

KIMENUKA! MADELEKA AJIBU MAPIGO YA UWANAHARAKATI KUWA MAGAIDI/ATOA MIFANO MIZITO

HOPEWELL CHIN'ONO WARNS! WHAT HAPPENS IN ZIMBABWE WON'T STAY IN ZIMBABWE
▶︎

HOPEWELL CHIN'ONO WARNS! WHAT HAPPENS IN ZIMBABWE WON'T STAY IN ZIMBABWE

KIFO CHA MWENYEKITI WA MTAA WENZAKE WAFUNGUKA MAZITO TUMEUMIZWA SANA TUACHE MANENO.
▶︎

KIFO CHA MWENYEKITI WA MTAA WENZAKE WAFUNGUKA MAZITO TUMEUMIZWA SANA TUACHE MANENO.

KIFO CHA NABII DANIEL KIMEUMIZA WATU WENGI BABA MZAZI NA WAUMINI WAMLILIA KUZIKWA JUMAPILI ARUSHA
▶︎

KIFO CHA NABII DANIEL KIMEUMIZA WATU WENGI BABA MZAZI NA WAUMINI WAMLILIA KUZIKWA JUMAPILI ARUSHA

MJANE ADHULUMIWA ENEO NA SHEMEJI YAKE NAKUUZA SHILINGI MIL 32 MTENDAJI ASITIZA NA WANA UKOO WASIMAMA
▶︎

MJANE ADHULUMIWA ENEO NA SHEMEJI YAKE NAKUUZA SHILINGI MIL 32 MTENDAJI ASITIZA NA WANA UKOO WASIMAMA

ATTORNEY MWASIPU REVEALS SERIOUS ALLEGATIONS IN CASE CHALLENGING PRESIDENTIAL COMMISSION/INTENSE ...
▶︎

ATTORNEY MWASIPU REVEALS SERIOUS ALLEGATIONS IN CASE CHALLENGING PRESIDENTIAL COMMISSION/INTENSE ...

LISSU ANAONEWA KESI YAKE NI AIBU KWA TAIFA "HAKUNA GAIDI MMOJA WA TAIFA"
▶︎

LISSU ANAONEWA KESI YAKE NI AIBU KWA TAIFA "HAKUNA GAIDI MMOJA WA TAIFA"

Joram Bashange Criticizes Reconciliation: Claims It Is Impossible Without an Independent Mediator
▶︎

Joram Bashange Criticizes Reconciliation: Claims It Is Impossible Without an Independent Mediator

30 Insane Geography Facts About Uganda
▶︎

30 Insane Geography Facts About Uganda

MADELEKA AVUNJA UKIMYA ARUKA NA JAJI MKUU MAZIMA MAZIMA ''MAKONDA AKOSE KAZI ARUDI KWAO"
▶︎

MADELEKA AVUNJA UKIMYA ARUKA NA JAJI MKUU MAZIMA MAZIMA ''MAKONDA AKOSE KAZI ARUDI KWAO"

I might not even be alive before the next election - Peter Obi
▶︎

I might not even be alive before the next election - Peter Obi

Leo #MariaSpaces tunajadili: Nguvu ya Umma - sauti ya wananchi iheshimike!
▶︎

Leo #MariaSpaces tunajadili: Nguvu ya Umma - sauti ya wananchi iheshimike!

MWENYEKITI WA MTAA AFARIKI ALIAMBIWA NA JIRANI ATAENDA TANGA NAYEYE AENDE NDURUMA UCHAWI WATAJWA
▶︎

MWENYEKITI WA MTAA AFARIKI ALIAMBIWA NA JIRANI ATAENDA TANGA NAYEYE AENDE NDURUMA UCHAWI WATAJWA

'LOCKED AND LOADED': Trump issues warning to Iran
▶︎

'LOCKED AND LOADED': Trump issues warning to Iran