MAKONDA AFUNGUA MILANGO YA BONGO MOVIES ULAYA

UFARANSA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amewataka wasanii wa tasnia ya filamu nchini (Bongo Movie), wakiwemo waigizaji, waandishi wa miswada ya filamu 'scripts', waongozaji, waandaaji na wasambazaji wa filamu, kujiandaa kutumia fursa mpya zitakazowawezesha kuingia katika soko la kimataifa, hususan nchini Ufaransa na mataifa mengine ya Ulaya. Makonda ametoa wito huo katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa baada ya kufanya mazungumzo na uongozi wa waandaaji wa Cannes International Film Festival, yakilenga kujenga ushirikiano wa kuikuza tasnia ya filamu ya Tanzania na kuiwezesha Bongo Movie kushiriki kikamilifu katika soko la filamu duniani. Akizungumza baada ya mazungumzo hayo, Makonda alisema Serikali inalenga kufungua fursa kwa wadau wote wa tasnia ya filamu kuanzia waandishi wa miswada, waigizaji, waongozaji, waandaaji hadi wasambazaji ili kazi zao zipate nafasi katika masoko makubwa ya kimataifa. “Tumekuwa na mazungumzo mazuri sana. Lengo letu ni kuona tasnia nzima ya filamu inanufaika kwa kuwapa fursa waandishi wa scripts, waigizaji, waandaaji na wasambazaji wa filamu kuingia katika soko la dunia. Bongo Movie ni tasnia inayowagusa na kuwaingizia kipato maelfu ya Watanzania,” amesema Makonda. Aliongeza kuwa mafanikio yaliyowekwa na mastaa wa filamu nchini, akiwemo marehemu Steven Kanumba, Ray Kigosi, Irene Uwoya, Kajala Masanja, Aunt Ezekiel, Steve Nyerere pamoja na wengine wengi, yameitangaza Tanzania ndani ya Afrika na sasa wakati umefika wa kuitangaza zaidi katika soko la dunia.

TBA YAWEKA MKAKATI WA MAKAZI BORA KWA WOTE IFIKAPO 2050
▶︎

TBA YAWEKA MKAKATI WA MAKAZI BORA KWA WOTE IFIKAPO 2050

I Visited the African Country You've Never Heard Of 🇸🇹 (São Tomé & Príncipe)
▶︎

I Visited the African Country You've Never Heard Of 🇸🇹 (São Tomé & Príncipe)

በዚህ ቪዲዮ ካልሳቁ ሽልማት አለዎት! | Meskerem Kebede #marakiweg  #lifestyle
▶︎

በዚህ ቪዲዮ ካልሳቁ ሽልማት አለዎት! | Meskerem Kebede #marakiweg #lifestyle

Uongozi, Uchumi na Matarajio ya Vijana- Gen Z, Nini Mustakhabali wa Leo na Kesho?
▶︎

Uongozi, Uchumi na Matarajio ya Vijana- Gen Z, Nini Mustakhabali wa Leo na Kesho?

Save Money First, Build Yourself, Invest, Take Loans, Then Do The Following: Dr. Gamaliel Hassan
▶︎

Save Money First, Build Yourself, Invest, Take Loans, Then Do The Following: Dr. Gamaliel Hassan

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza
▶︎

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza

🚨 Panicked MP Eric Wamumbi Begs After Gachagua Exposed Olkalou Assassination Plot By Him & Murkomen❗
▶︎

🚨 Panicked MP Eric Wamumbi Begs After Gachagua Exposed Olkalou Assassination Plot By Him & Murkomen❗

🔴#LIVE Kutoka MADALE: BIRTHDAY PARTY YA 'MAMA DANGOTE'
▶︎

🔴#LIVE Kutoka MADALE: BIRTHDAY PARTY YA 'MAMA DANGOTE'

RC SIRRO ANG'AKA MRADI WA DARAJA KITANGA KUKWAMA, ATOA MAAGIZO
▶︎

RC SIRRO ANG'AKA MRADI WA DARAJA KITANGA KUKWAMA, ATOA MAAGIZO

[LEAKED] Inside Uhuru & Gachagua's Secret 2027 Masterplan to Oust Ruto!
▶︎

[LEAKED] Inside Uhuru & Gachagua's Secret 2027 Masterplan to Oust Ruto!

DRAMA!! See what happened in Bungoma after Didmus Barasa said 'MIMI SIO SIFUNA!'🔥
▶︎

DRAMA!! See what happened in Bungoma after Didmus Barasa said 'MIMI SIO SIFUNA!'🔥

RIDHIWANI KIKWETE ATOA UFAFANUZI KUHUSU KATIBA MPYA
▶︎

RIDHIWANI KIKWETE ATOA UFAFANUZI KUHUSU KATIBA MPYA

JKL | POLITICAL ACTIVISM: WHICH WAY?
▶︎

JKL | POLITICAL ACTIVISM: WHICH WAY?

Money Lessons at 80 || Joe Gichuru
▶︎

Money Lessons at 80 || Joe Gichuru

Pauline Njoroge: Uhuru FUNDING Sifuna is his choice
▶︎

Pauline Njoroge: Uhuru FUNDING Sifuna is his choice

Tuliishi hapa, Mungu ametutoa mbali🙏🏼- Full old house tour
▶︎

Tuliishi hapa, Mungu ametutoa mbali🙏🏼- Full old house tour

🔴 LIVE | RAIS SAMIA ANASHUHUDIA TAMKO LA MARIDHIANO KATI YA CCM NA ACT, ZANZIBAR
▶︎

🔴 LIVE | RAIS SAMIA ANASHUHUDIA TAMKO LA MARIDHIANO KATI YA CCM NA ACT, ZANZIBAR

ALICHO KIFANYA JUMA NATURE NI BALAA/BABA LEVO ASHINDWA KUVUMILIA,DIAMOND NA ALIKIBA HAWAMUWEZI
▶︎

ALICHO KIFANYA JUMA NATURE NI BALAA/BABA LEVO ASHINDWA KUVUMILIA,DIAMOND NA ALIKIBA HAWAMUWEZI

Edwin Sifuna HUMILIATES Didmus Barasa At Bungoma Funeral, Drops 2027 Presidential Bombshell
▶︎

Edwin Sifuna HUMILIATES Didmus Barasa At Bungoma Funeral, Drops 2027 Presidential Bombshell

Senegal: Single by circumstance or by choice? Why marriage is being delayed
▶︎

Senegal: Single by circumstance or by choice? Why marriage is being delayed