Ndugu Samson Omollo - Full Testimony

Ndugu Samson Omollo Dere ni Dereva katika chuo Kikuu cha Nairobi, na pia ni Mwalimu wa kanisa katika kanisa la ACK. All Saints Cathedral. Baada ya kuugua na kufanyiwa upasuaji, hali akishuhudia aliyalazwa chumba kimoja naye akiaga, na baadaye katika hali ya kuugua huko kabla ya kupona, wimbo mmoja ukawa chanzo cha bubujiko la kile kiletayo uhuru - wokovu. "" 1. Nasikia kuitwa, na sauti yako, Nikasafiwe kwa damu, ya kwangikwa kwako. Chorus / Korasi Nimesogea, Mtini pako, Unisafi kwa damu, ya kwangikwa kwako. "" Wimbo huu ukawa chemchemi ya kukubali kuacha vyote na kufika msalabani kupata wokovu. Kristo akapata kuleta kubadilishwa, kufanywa upya, na kuvishwa upya! Ndugu Samson alifanywa upya na Yesu kutoka kuwa manamba kule Nyanza na kuletwa Nairobi, angali mkononi mwa neema ya msalaba huo tu! Sasa ni ushuhuda wa ushindi!