Ndugu Fredrick Njuguna || Ushuhuda

Huu ni ushuhuda wa Ndugu Fredrick akiangazia jinsi alivyokutana naye Yesu, hali akiwa dhambini. Damu yake Yesu ikaleta msamaha wa dhambi, na hata furaha itokanayo na kupata msamaha huo. Zaidi ya kuokolewa huko, Ndugu anaangazia ushindi ule anaoupata katika Yesu, hasa katika maisha ya kila siku. Hali ya kuwaza, kutaka kunungunika, na hata kutaka kuhofu, hasa kwa ajili ya watoto na kizazi hiki cha sasa. Katika kuhofu huko, Ndugu anashuhudia ushindi wa kupata kutulia anapomwita Yesu, na kurudi msalabani, hasa katika hali ya kuomba. Huu basi ni changamoto na mwito kwetu sote, Tukeshe na Kuomba, hasa kwa ajili ya kizazi hiki cha sasa! Tukutendereza Yesu!Huu ni ushuhuda wa Ndugu Fredrick akiangazia jinsi alivyokutana naye Yesu, hali akiwa dhambini. Damu yake Yesu ikaleta msamaha wa dhambi, na hata furaha itokanayo na kupata msamaha huo. Zaidi ya kuokolewa huko, Ndugu anaangazia ushindi ule anaoupata katika Yesu, hasa katika maisha ya kila siku. Hali ya kuwaza, kutaka kunungunika, na hata kutaka kuhofu, hasa kwa ajili ya watoto na kizazi hiki cha sasa. Katika kuhofu huko, Ndugu anashuhudia ushindi wa kupata kutulia anapomwita Yesu, na kurudi msalabani, hasa katika hali ya kuomba. Hii basi ni changamoto na mwito kwetu sote, Tukeshe na Kuomba, hasa kwa ajili ya kizazi hiki cha sasa! Tukutendereza Yesu!