RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SHULE 302 ZILIZOJENGWA NCHINI KUPITIA MIRADI YA BOOST NA SEQUIP
RAIS DKT. SAMIA AANZA RASMI ZIARA YA KIKAZI MKOANI SINGIDA Miradi ya BOOST 2021/22 – 2025/26 Mkoa wa Singida ulipokea kiasi cha shilingi 9,024,600,000 kutoka Mradi wa BOOST kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya 12 za Msingi. Kati ya Shule hizo, shule 11 ni za mikondo miwili na shule 01 yenye mkondo moja. Kila Shule mpya yenye mikondo miwili ililetewa shilingi 493,400,000 ikiwa ni za ujenzi wa madarasa 16, Jengo la Utawala 01, matundu 24 ya Vyoo na Kichomea taka 01. Shule yenye Mkondo mmoja ililetewa shilingi 318,800,000 ikiwa ni za kujenga madarasa 09, matundu ya 16 ya vyoo, kichomea taka 01 na Jengo 01 la Utawala. Aidha, Shule 44 zimeongezewa miundombinu. Baada ya kukamilika kwa Shule mpya 12 na Shule 44 zilizoongezewa miundombinu, wanafunzi 13,275 wa Elimu ya Awali na Msingi wamenufaika. Aidha, miundombinu hii imesaidia kupunguza msongamano katika baadhi ya Shule na wengine kupunguza umbali wa kutembea kwenda Shuleni. MIRADI YA SERIKALI KUU YA UPANUZI WA SHULE ZA KIDATO CHA TANO NA SITA MWAKA 2023. Mkoa wa Singida ulipokea kiasi cha shilingi 3,026,400,000 kutoka Serika Kuu kwa ajili ya upanuzi wa miundombinu ya Shule za Sekondari za Kidato cha Tano na Sita Mwezi Mei, 2023. Miundombinu iliyojengwa ni mabweni 15, madarasa 44 na matundu 82 ya vyoo.

SAMIA ARIDHISHWA NA SHULE YA WASICHANA MANYARA, AONGEZA BILIONI 4.1 YA WAVULANA.

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

Mahundi:Shule ya Wasichana ya Lindi- Kilangala kupata huduma ya maji kabla ya tarehe 5 Agosti, 2023

UKAGUZI WA SHULE YA KISASA YA WASICHANA MKOA WA MANYARA

HII HAPA SHULE MPYA YA WASICHANA MANYARA ITAKAYOANZA RASMI JULAI MOSI

WAZIRI MKUU AWATAKA VIONGOZI KUJIKITA KATIKA HUDUMA KWA WANANCHI

NYENZO MPYA KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO SINGIDA KUANZA KUTEKELEZWA

MKOA WA SINGIDA WAAHIDI KUBORESHA MAZINGIRA YA WAFANYAKAZI | MAADHIMISHO YA MEIMOSI 2026

DKT. MWIGULU AWAKANYA WATUMISHI WANAOTUMIA VIBAYA MAMLAKA WALIZOAMINIWA KUWATUMIKIA WANANCHI

VYAMA VYA USHIRIKA VYAASWA KUONGOZWA KWA MFUMO WA KIDIJITALI

"MICHEZO NI AJIRA KWA VIJANA KATIKA JAMII YENYE USHINDANI WA KIMATAIFA" RC DENDEGO

Kila Mtu kunywa lita 200 za Maziwa kila mwaka | Kuelekea Siku ya Unywaji wa Maziwa Duniani

LIVE!!!!! TAZAMA SHULE YA WASICHANA YA DKT. SAMIA ILIYOPO TUNDUMA INAVYO NG'ARA

Kolumbien – Portugal Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

UCHUMI BILA MAADILI YA WATOTO NI HASARA KWA TAIFA – RC DENDEGO

VIONGOZI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUIKANILI RUSHWA

HOTUBA YA RC DENDEGO KWENYE MKUTANO WA HADHARA WILAYA YA ITIGI

RC DENDEGO: TUISHEREHEKEE POLICE DAY KWA KUPINGA RUSHWA, DAWA ZA KULEVYA NA VITENDO VYA UHALIFU

🔴#🅻🅸🆅🅴 : RAIS SAMIA ATOA TAMKO HILI MUDA HUU

