Mahundi:Shule ya Wasichana ya Lindi- Kilangala kupata huduma ya maji kabla ya tarehe 5 Agosti, 2023
Shule ya Wasichana ya Lindi- Kilangala kupata huduma ya maji kabla ya tarehe 5 Agosti, 2023 18 Julai, 2023 ( Mchinga) Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Maryprisca Mahundi ameendelea kuambatana na Mwenyekiti UWT TAIFA kwa ajili ya Ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Wakati wa Ziara hiyo, Mwenyekiti wa UWT TAIFA ametembelea na kukagua shule ya Sekondari ya wasichana Kilangala ambapo Naibu Waziri wa Maji ametolea ufafanuzi wa huduma ya kuboresha huduma ya maji katika shule hiyo kwa kutoa maagizo kwa RUWASA Mkoa wa Lindi kuwa ndani ya Wiki Mbili wakamilishe Ulazaji wa Mtandao wa mabomba wenye urefu wa Kilomita *19 ili kuhakikisha shule hiyo inapata huduma ya maji kwa muda wote. Kwa upande wa Mwenyekiti wa UWT TAIFA Ndugu Mary Pius Chatanda amefurahishwa kwa jitihada hizo na kusema kuwa Wizara ya Maji ikiahadi inatekeleza. Vilevile, Naibu Waziri wa Maji ameeleza kuwa Serikali inaendelea na utekelezaji wa mradi wa usambazaji maji kutoka Mjini Lindi hadi Mchinga kwa gharama ya Bilioni 13

UWEKAJI JIWE LA MSINGI SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LINDI, KIJIJI CHA KILANGALA

SHULE ya WASICHANA ya SAYANSI ILIYOTUMIA SHIL BILIONI 4+ LINDI - WANAFUNZI WASHINDWA KUJIZUIA...

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

#LIVE | MISA TAKATIFU YA MAHAFALI KUTOKA SHULE SEKONDARI YA WASICHANA MOTHER TERESA OF CALCUTTA-SAME

Gawad Pangulo Awarding Ceremony

WALIMU WAANZA KURIPOTI SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MKOA WA TANGA

SHULE YA SEKONDARI YA MKOA WA TANGA KUPOKEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO MWEZI JULAI MWAKA HUU

Pre-bidding Conference for Civil Works FY 2026 June 23, 2026 Negros Oriental 1st DEO

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI

HII HAPA SHULE MPYA YA WASICHANA MANYARA ITAKAYOANZA RASMI JULAI MOSI

RC MONGELA ASHTUKIZA KWENYE SHULE ya WASICHANA ya SAMIA SEKONDARI LONGIDO - MWAKA HUU KUANZA RASMI..

Mahafali ya kidato cha Sita 2024- Dodoma sekondari

Benki ya NMB kuchangia bati 100 moja ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana - Kilindi.

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SHULE 302 ZILIZOJENGWA NCHINI KUPITIA MIRADI YA BOOST NA SEQUIP

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

HII NI SEKONDARI YA MFANO TANZANIA

SAMIA ARIDHISHWA NA SHULE YA WASICHANA MANYARA, AONGEZA BILIONI 4.1 YA WAVULANA.

MWANAFUNZI AELEZA ALIVYONYIMWA KUMUONA MAMA YAKE, AJALI ILIYOUA WATU 4 "YUPO ICU"

MAKALA YA MWENGE WA UHURU WILAYA YA MVOMERO MWAKA 2026

