VITA NYINGI NA NI KALI

VITA NYINGI NA KALI 1. Vita nyingi na kali zi menijia mimi "Jehova mungu mufalme ujitukuze kwa mambo aya" Ila kwa uweza wako Baba mufalme wangu usinyache Ila kwa nguvu zako Baba mufalme wangu usinyache Wewe kimbiliyo letu Baba mufalme wangu usinyache Wewe ni ngao letu Baba mufalme wangu usinyache 2. Mafalme wa giza wame kusanya Mafalme wa giza wame kusanya Ila kwa uweza wako Baba mufalme wangu usinyache Wewe kimbiliyo langu Baba mufalme wangu usinyache Wewe tegemeo langu Baba mufalme wangu usinyache Wewe ni ngao langu Baba mufalme wangu usinyache 3. Wame nichimbia shimo Wame tandika mitego "Waki tafuta nafsi yangu Kwajili ya neno la uzima" "Ila kwa nguvu zako Baba mufalme wangu usinyache Ila kwa kulia kwangu Baba mufalme wangu usinyache Wewe ni ngao langu Baba mufalme wangu usinyache Ila kwa nguvu zako Baba mufalme wangu usinyache" 4. Ulimwokoa Abramu Ulimwokoa na Lutu "Ulimwokoa Danieli Ukamushindia Daudi" Ila kwa uweza wako Baba mufalme wangu usinyache Ila kwa nguvu zako Baba mufalme wangu usinyache Wewe kimbiliyo letu Baba mufalme wangu usinyache Wewe ni ngao letu Baba mufalme wangu usinyache