EWE MALAIKA WA NURU (Lyrics)
Lucifero EWE MALAIKA WA NURU Ewe malaika wa nuru Ewe nyota alfajiri LUCIFERO Ulipendwa sana Kuko Bwana mumba wako Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Ewe malaika wa nuru Ewe nyota alfajiri LUCIFERO Ulipendwa sana Kuko Bwana mumba wako Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Mawe ya bei LUCIFERO uliyo vikua Tazama AKIKI nyekundu Yakuti ya MANJANO Ulivikua na ALMASI Yakuti ya SAMAWI ZABARAJADI ZUMARIDI Na YASPI BAHARAMANI SHOHAMU na DHAHABU Mawe ya bei LUCIFERO uliyo vikua Tazama AKIKI nyekundu Yakuti ya MANJANO Ulivikua na ALMASI Yakuti ya SAMAWI ZABARAJADI ZUMARIDI Na YASPI BAHARAMANI SHOHAMU na DHAHABU Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Vita kutoka mbinguni MIKAELI na jeshi lake Kushindana na yule SHETANI Na kundi lake lote SHETANI akatupua chini Na kundi lake lote DIABOLO akatupua chini Na kundi lake lote Furahini ninyi mbingu Pia na malaika wote Ole wenu duniani Na waishio Ndani ya bahari Furahini ninyi watu Waishimo mu Neno la mungu Vita kutoka mbinguni MIKAELI na jeshi lake Kushindana na yule SHETANI Na kundi lake lote SHETANI akatupua chini Na kundi lake lote DIABOLO akatupua chini Na kundi lake lote Furahini ninyi mbingu Pia na malaika wote Ole wenu duniani Na waishio Ndani ya bahari Furahini ninyi watu Waishimo mu Neno la mungu Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana

Moyo Wangu uko Katikati ya Nyama

NOA KAJENGA SAFINA & NOA SAFINANI (LYRICS)

PART 10 MBINU ANAZO TUMIA SHETANI KUJIGEUZA MALAIKA WA NURU ...USHUHUDA WA KENZO ATSUSHI

28: បទចម្រៀង ព្រះ គ្រឹស្ទ ៨ បទ /ស្តាប់ បទចំរៀងដើម្បីស្គាល់ព្រះ នឹង ព្យាបាលចិត្ត

Kwa nini Wakristo wengi ni maskini kuliko wapagani 1 ?

"Malaika" - Popular Swahili Romantic Song (Cover) - J Nana & Lucinia Karrey

MAMBO YOTE NILIONAYO

Jini Aliyekuja Kutubu Kanisani Kwake Akambadilisha

Eujc Lucifero

WALIPO AMINI WASAMARIA (LYRICS)

KILIO CHANGU

Nyimbo za Kuabudu | ANOINT 6– Deep Swahili Worship & Praise Cover Songs | Anointed Worship

E.U.J.C. Song { Mungu uyu Mungu } By Maman Niclet Masengu SA

TIMIZA NAZIRI ZAKO KWA MUMBAJI

Siku Ya Jua Kama Ndivyo Yalivyo ( Wanamwabudu Nani) - Aline & Pianist Kennedy //Lyrics Video//

MASWALI YOTE

VITA NYINGI NA NI KALI

Bahati Bukuku Mix 1 - St.KINS

