EWE MALAIKA WA NURU (Lyrics)

Lucifero EWE MALAIKA WA NURU Ewe malaika wa nuru Ewe nyota alfajiri LUCIFERO Ulipendwa sana Kuko Bwana mumba wako Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Ewe malaika wa nuru Ewe nyota alfajiri LUCIFERO Ulipendwa sana Kuko Bwana mumba wako Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Akakuvika mawe ya bei Lulu ya damani kubwa Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Mawe ya bei LUCIFERO uliyo vikua Tazama AKIKI nyekundu Yakuti ya MANJANO Ulivikua na ALMASI Yakuti ya SAMAWI ZABARAJADI ZUMARIDI Na YASPI BAHARAMANI SHOHAMU na DHAHABU Mawe ya bei LUCIFERO uliyo vikua Tazama AKIKI nyekundu Yakuti ya MANJANO Ulivikua na ALMASI Yakuti ya SAMAWI ZABARAJADI ZUMARIDI Na YASPI BAHARAMANI SHOHAMU na DHAHABU Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Vita kutoka mbinguni MIKAELI na jeshi lake Kushindana na yule SHETANI Na kundi lake lote SHETANI akatupua chini Na kundi lake lote DIABOLO akatupua chini Na kundi lake lote Furahini ninyi mbingu Pia na malaika wote Ole wenu duniani Na waishio Ndani ya bahari Furahini ninyi watu Waishimo mu Neno la mungu Vita kutoka mbinguni MIKAELI na jeshi lake Kushindana na yule SHETANI Na kundi lake lote SHETANI akatupua chini Na kundi lake lote DIABOLO akatupua chini Na kundi lake lote Furahini ninyi mbingu Pia na malaika wote Ole wenu duniani Na waishio Ndani ya bahari Furahini ninyi watu Waishimo mu Neno la mungu Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana Uchuruzi wako Ulikujaza uzalimu Toka katikati Ya mawe ya moto Wewe Ulitenda zambi Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Mulima wa Bwana Eh LUCIFERO !!! Ulinena kwamba Nitapaa juu mbinguni Kuliko Nyota za Bwana