Kina mama wabangua korosho Mtwara

Wewe ni mlaji wa korosho siyo? Lakini unajua mchakato wa kuzinchakata hadi kukufikia wewe mlaji? Ripota wetu Salma Mkalibala amakutana na kuzungumza na kina mama wanaobagua zao hilo huko mkoani Mtwara na kututumia vidio hii. #Kurunziwanawake 03.02.2021.