NDOA ZIPO HATARINI MSIMBATI MTWARA| RUWASA WAJA NA SULUHISHO KUPITIA MRADI HUU WA MAJI
Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Msimbati na Mtandi kata ya Msimbati mkoani Mtwara, wamesema Ndoa zao zipo hatarini kutokana na kuwepo kwa shida ya Maji hali inayowalazimu Wanawake kutoka Alfajiri kwenda kutafuta maji na kuwaacha waume zao wakiwa wamelala ambapo Wanaume hao wameonesha kutokuwa na imani na Wanawake zao. Lakini Ndoa zao sasa zinaenda kuimarika baada ya Serikali kupeleka Mradi mkubwa wa Maji wa Mitambo Msimbati, Uliogharimu TSH Bilioni 2.1 unaotekelezwa na RUWASA wilaya ya Mtwara, ambao unatarajiwa kukamilika mapema mwezi wa nane mwaka huu. Faida Online TV tumefika kwenye Kata hiyo ya Msimbati na kuzungumza na Wananchi. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU.

▶︎
IFAHAMU SIRI NZITO YA KIJIJI CHA MSIMBATI MTWARA

▶︎
Achoma chumba Cha aliyekua mumewe, mke asikitika, Kianga Zanzibar.

▶︎
MKUU WA MKOA WA MTWARA AIPONGEZA HFM RADIO KWA TAMASHA KUBWA LA MSIMBATI TOUR,''HAKIKA MMEWEZA''.

▶︎
MAAJABU YA KIJIJI CHA MSIMBATI MTWARA UKIPANDA NJUGU MAWE KUNATOKEA RADI MFULULIZO MPAKA ZING'OLEWE

▶︎
MNAZI BAY - RUVUMA ESTUARY MARINA PARK (MBREMP) TREASURE

▶︎
Milk Fish being Harvested in Msimbati Mtwara under Amisodago Consultancy Firm

▶︎
WANANCHI WAMKATAA MTENDAJI KATA MSANGAMKUU MTWARA "Ahameee" MKUU WA WIALAYA AINGILIA KATI

▶︎
MTOTO WA TAJIRI AFARIKI NAKUOZEA NDANI ARUSHA, MWILI WAZIKWA HAPOHAPO "UMEHARIBIKA SANA"

▶︎
Visima vinavyowaka moto Mtwara vyawaachia maswali zaidi wananchi

▶︎
IFAHAMU SUPU YA PWEZA WA NANYENJEMANGA /SIJAKOPA PESA SERIKALINI- MSANGA MKUU MTWARA EP 6

▶︎
TAHARUKI MTWARA | VITU VYA AJABU VYAJITOKEZA BAHARINI NA KUHARIBU MAKAZI KIJIJI CHA NAUMBU

▶︎
NANYENJEMANGA YAFIKA KIJIJI CHA MNETE - MBOGA YA KUMBWA WA BAHARINI NI TAMU KULIKO PWEZA

▶︎
KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

▶︎
98 SZÁZALÉKOS ELŐLEG A SOHA MEG NEM TÉRÜLŐ HÍDRA

▶︎
GESI MTWARA YAJENGA KITUO CHA AFYA, POLISI

▶︎
KUTANA NA ENEO LILILOBADILIKA KUTOKA KIJIJI NA KUWA MILIMA YA MCHANGA MSIMBATI

▶︎
RC MTWARA ASITISHA UENDELEZAJI ENEO ALILOKODISHWA MUDY REY | FAMILIA YA HAYATI MKAPA YATAJWA

▶︎
"WANATAKA KUTUDHULUMU ARDHI YETU" WANANCHI MTWARA| SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALALAMIKO HAYO

▶︎
Makala Maalum Ya Umoja wa Vijana wa CCM Ikielezea Umuhimu wa Jumuiya ya Vijana kwa Taifa la Tanzania

▶︎
