DC MWAIPAYA AWAHIMIZA WANANCHI KUWATUMIA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mhe. Abdallah Mwaipaya mapema leo Mei 05, 2025 amewahimiza wananchi Mkoani Mtwara kuendelea kujitokeza kwa wingi katika kambi ya Madaktari bingwa na Mabingwa bobezi inayoendelea katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara ligula ili waweze kutatua changamoto za kiafya zinazowakabili. Dc Mwaipaya amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kambi Maalumu ya Madaktari bingwa uliofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula na kuhusisha Madaktari bingwa kutoka Hospitali za Rufaa za Mkoa Ligula, Mwananyamala, Amana, Temeke, Sokoine-lindi sambamba na Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Kusini. “ Ninaamini kunawengine tayari mmeshapata vipimo na kutambua changamoto mlizonazo, Mhe Rais Dkt Samia ameleta huduma hizi ambazo hazibagui dini, jinsia wala chama, kwahiyo nawahimiza kutumia fursa hii kukutana na madaktari bingwa kulingana na changamoto mlizonazo”. Akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe Mwaipaya amezindua kambi hiyo inayoanza leo Mei 05,2025 hadi Mei 09,2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara- Ligula #afya_leo_kihonda_net #afyayako #afyayakondouwekezajiwako #raissamiasuluhuhassan #simba #harmonize #diamond #diamondplatnumz

HOSPITALI YA AMANA YAJIANDAA NA HUDUMA ZA DHARURA KUELEKEA AFCON 2027

ELIMU YA AFYA KUHUSU UGONJWA WA FISTULA

MAADHIMISHO YA SIKU YA SELIMUNDU KATIKA HOSPITALI YA AMANA

NDEGE YA RAIS WA MISRI ILIVYOTUWA TANZANIA | RAIS SAMIA AMPOKEA AMKARIBISHA IKULU | MIZINGA YAPIGWA

KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KANDA YA KUSINI MASHARIKI- LIGULA, MTWARA

MTOE MAGUFULI NI MIMI, DOTTO MAGARI, MWIJAKU NI MACHAWA TU, DAR HAKUNA MATAJIRI, WASUKUMA WANAJENGA

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"

Je! Unafahamu kuwa hata wanafunzi wanaweza kupata changamo ya Afya ya Akili

MAZUNGUMZO YA HECHE NA DIASPORA! APIGWA MASWALI KUHUSU CHADEMA NA MARIDHIANO

MAPOKEZI YA TUZO YA MSHINDI WA KWANZA WA UTOAJI HUDUMA BORA ZA AFYA NGAZI YA HOSPITALI ZA RUFAA.

OMO AKATA SHAURI KUWAJIBU KUHUSU MARIDHIANO YA ZANZIBAR

UMUKOBWA MWIZA, UTEYE NEZA, UGENDA NEZA ASEBEYE IMBERE YA PEREZIDA KAGAME - ABAYOBOZI BAHAWE INAMA

ኢትዮጵያ የምትመክርባቸው 8 አጀንዳዎች ይፋ ሆኑ | National Dialogue | ETV | EBC | EBCDOTSTREAM

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

MAJERUHI WA AJALI YA GARI MOSHI ILIYOTOKEA KATIKA MAKUTANO YA AL - HASSAN MWINYI WAENDELEA VIZURI

FAHAMU NAMNA YA KUTUMIA KANUNI YA 20-20-20 KULINDA AFYA YAKO YA MACHO

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

VIDEO🚨BWA1 H.E KAGAME AVUZE KURI MINEMBWE NA SEBARUNDI UKOMEJE GUFATANYA NA FDLR MUNTAMBARA

