Wazee Kwamsisi Handeni waliamsha tena wamkataa mwekezaji, wataka ardhi yao.

Wananchi wa kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga,wameiomba serikali kuangalia upya umiliki wa ardhi wa mwekezaji Sasumua Holdings Limited anaemiliki hekta 6,174 kwenye eneo lao na kusababisha wananchi kukosa maeneo ya shughuli za maendeleo. Wakizungumza kwenye mkutano wao wa hadhara pamoja na mkuu wa wilaya ya Handeni Siriel Mchembe na kamati ya ulinzi na uslaama,wenye lengo la kusikiliza kero hiyo ,wananchi hao walisema zaidi ya kaya 800 zinatakiwa kuhamishwa kwa madai kuwa zipo kwenye shamba la muwekezaji na zinatakiwa kuondoka.

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA
▶︎

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

Vita ya Mpaka Tanga yaanza upya | Watu watishiwa | Ni kati ya Handeni na Kilindi
▶︎

Vita ya Mpaka Tanga yaanza upya | Watu watishiwa | Ni kati ya Handeni na Kilindi

Exclusive KWAMSISI- Mji wa KUTISHA uliowatesa Watumishi wa Serikali kwa Uchawi, wengi wameteswa sana
▶︎

Exclusive KWAMSISI- Mji wa KUTISHA uliowatesa Watumishi wa Serikali kwa Uchawi, wengi wameteswa sana

Mkuu wa Mkoa Alivalia Njuga Sakata la Wazee wa Msisi |Wazee Waache Vitisho Tutalifikisha kwa Mama
▶︎

Mkuu wa Mkoa Alivalia Njuga Sakata la Wazee wa Msisi |Wazee Waache Vitisho Tutalifikisha kwa Mama

HII KALI! WAZEE WAZUIA UJENZI WA BARABARA, WAKIDAI MILIONI 21 YA TAMBIKO..
▶︎

HII KALI! WAZEE WAZUIA UJENZI WA BARABARA, WAKIDAI MILIONI 21 YA TAMBIKO..

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA
▶︎

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

Kundi la wafugaji lavamia ofisi ya kijiji cha Kwasunga.
▶︎

Kundi la wafugaji lavamia ofisi ya kijiji cha Kwasunga.

Ajali Tanga, Lori la mnadani laacha njia na kupinduka, watatu wafariki, 30 wajeruhiwa
▶︎

Ajali Tanga, Lori la mnadani laacha njia na kupinduka, watatu wafariki, 30 wajeruhiwa

Wanaojenga mradi wa maji wa bilioni 1.9 Handeni walia ‘mauzauza’
▶︎

Wanaojenga mradi wa maji wa bilioni 1.9 Handeni walia ‘mauzauza’

Mwanamke akutwa amefariki Gesti Handeni
▶︎

Mwanamke akutwa amefariki Gesti Handeni

Hotuba ya Mkuu wa Wilaya Mei 28, 2026
▶︎

Hotuba ya Mkuu wa Wilaya Mei 28, 2026

Wazee Kwamsisi Handeni waweka bayana suala la tambiko lao
▶︎

Wazee Kwamsisi Handeni waweka bayana suala la tambiko lao

#TAZAMA| MWENGE WATUA HANDENI, ULICHOKIKUTA HIKI HAPA...
▶︎

#TAZAMA| MWENGE WATUA HANDENI, ULICHOKIKUTA HIKI HAPA...

MAMIA YA BODABODA WAANDAMANA WAKIPINGWA UKAMATWAJI HOLELA
▶︎

MAMIA YA BODABODA WAANDAMANA WAKIPINGWA UKAMATWAJI HOLELA

Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko
▶︎

Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko

#LIVE: MAKONDA ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA KOROGWE
▶︎

#LIVE: MAKONDA ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA KOROGWE

Duh! MNYIKA ALIAMSHA DUDE ``CHADEMA KUFUNGIWA TENA" ASHINDWA KUJIZUIA
▶︎

Duh! MNYIKA ALIAMSHA DUDE ``CHADEMA KUFUNGIWA TENA" ASHINDWA KUJIZUIA

走進坦桑尼亞的Kwamsisi 社區  A visit to the Kwamsisi community in Tanzania
▶︎

走進坦桑尼亞的Kwamsisi 社區 A visit to the Kwamsisi community in Tanzania

Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

KILIMO AJIRA YANGU-MATUMIZI SAHIHI NA SALAMA YA VIUATILIFU
▶︎

KILIMO AJIRA YANGU-MATUMIZI SAHIHI NA SALAMA YA VIUATILIFU