Wazee Kwamsisi Handeni waliamsha tena wamkataa mwekezaji, wataka ardhi yao.
Wananchi wa kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga,wameiomba serikali kuangalia upya umiliki wa ardhi wa mwekezaji Sasumua Holdings Limited anaemiliki hekta 6,174 kwenye eneo lao na kusababisha wananchi kukosa maeneo ya shughuli za maendeleo. Wakizungumza kwenye mkutano wao wa hadhara pamoja na mkuu wa wilaya ya Handeni Siriel Mchembe na kamati ya ulinzi na uslaama,wenye lengo la kusikiliza kero hiyo ,wananchi hao walisema zaidi ya kaya 800 zinatakiwa kuhamishwa kwa madai kuwa zipo kwenye shamba la muwekezaji na zinatakiwa kuondoka.

▶︎
KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

▶︎
Vita ya Mpaka Tanga yaanza upya | Watu watishiwa | Ni kati ya Handeni na Kilindi

▶︎
Exclusive KWAMSISI- Mji wa KUTISHA uliowatesa Watumishi wa Serikali kwa Uchawi, wengi wameteswa sana

▶︎
Mkuu wa Mkoa Alivalia Njuga Sakata la Wazee wa Msisi |Wazee Waache Vitisho Tutalifikisha kwa Mama

▶︎
HII KALI! WAZEE WAZUIA UJENZI WA BARABARA, WAKIDAI MILIONI 21 YA TAMBIKO..

▶︎
TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

▶︎
Kundi la wafugaji lavamia ofisi ya kijiji cha Kwasunga.

▶︎
Ajali Tanga, Lori la mnadani laacha njia na kupinduka, watatu wafariki, 30 wajeruhiwa

▶︎
Wanaojenga mradi wa maji wa bilioni 1.9 Handeni walia ‘mauzauza’

▶︎
Mwanamke akutwa amefariki Gesti Handeni

▶︎
Hotuba ya Mkuu wa Wilaya Mei 28, 2026

▶︎
Wazee Kwamsisi Handeni waweka bayana suala la tambiko lao

▶︎
#TAZAMA| MWENGE WATUA HANDENI, ULICHOKIKUTA HIKI HAPA...

▶︎
MAMIA YA BODABODA WAANDAMANA WAKIPINGWA UKAMATWAJI HOLELA

▶︎
Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko

▶︎
#LIVE: MAKONDA ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA KOROGWE

▶︎
Duh! MNYIKA ALIAMSHA DUDE ``CHADEMA KUFUNGIWA TENA" ASHINDWA KUJIZUIA

▶︎
走進坦桑尼亞的Kwamsisi 社區 A visit to the Kwamsisi community in Tanzania

▶︎
Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
