Wazee Kwamsisi Handeni waweka bayana suala la tambiko lao

Wazee wa kamati ya tambiko kwaajili ya kubariki ujenzi wa barabara ya Afrika Mashariki inayopita katika kata ya Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga, wamebariki kuendelea kwa ujenzi wa mradi huo huku wakisema hawawezi kuzuia ujenzi huo kupita kwenye eneo lao kwani ni mradi muhimu kwa maendeleo yao. Wakizungumza na Mwananchi Digital kijijini hapo wamesema kuwa kilichotokea walipokaa na Serikali kujadili ujenzi walipewa taarifa kwamba mradi utapita kwenye msitu wao wa hifadhi, ambao ndani yake kuna chanzo cha maji lakini pia ni eneo ambalo wanafanyia matambiko yao

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State
▶︎

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"
▶︎

WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA
▶︎

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

EH...!! Wanawake TANGA walia na Wanaume kutowapumzisha USIKU
▶︎

EH...!! Wanawake TANGA walia na Wanaume kutowapumzisha USIKU

Mfangano Island; The home to the assimilated Abasuba community from Buganda kingdom.
▶︎

Mfangano Island; The home to the assimilated Abasuba community from Buganda kingdom.

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU
▶︎

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU

I turned an old van into a 2-STORY tiny house
▶︎

I turned an old van into a 2-STORY tiny house

Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

Ujenzi barabara ya lami Kwamsisi Handeni wahujumiwa, Rc atoa onyo kali
▶︎

Ujenzi barabara ya lami Kwamsisi Handeni wahujumiwa, Rc atoa onyo kali

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 09, 2026 -  ZANZIBAR YAANZA KULETA MAFUTA YAKE KUTOKA UARABUNI
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 09, 2026 - ZANZIBAR YAANZA KULETA MAFUTA YAKE KUTOKA UARABUNI

Africa’s Eden: Ngorongoro Crater, Tanzania
▶︎

Africa’s Eden: Ngorongoro Crater, Tanzania

BUNGE LA BAJETI  | KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU | 15/06/2026
▶︎

BUNGE LA BAJETI | KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU | 15/06/2026

Wananchi Handeni wamlilia Waziri Mkuu Majaliwa kufuatia makao makuu ya wilaya kubadilishwa eneo
▶︎

Wananchi Handeni wamlilia Waziri Mkuu Majaliwa kufuatia makao makuu ya wilaya kubadilishwa eneo

ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE
▶︎

ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE

Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko
▶︎

Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko

Liberia, fatal rains - The roads of the impossible
▶︎

Liberia, fatal rains - The roads of the impossible

MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"
▶︎

MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"

ZIARA YA KIKAZI MKOANI UFUNGUZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA HANDENI-MKATA
▶︎

ZIARA YA KIKAZI MKOANI UFUNGUZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA HANDENI-MKATA

#Live: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA, JNICC DAR ES SALAAM
▶︎

#Live: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA, JNICC DAR ES SALAAM