Wazee Kwamsisi Handeni waweka bayana suala la tambiko lao
Wazee wa kamati ya tambiko kwaajili ya kubariki ujenzi wa barabara ya Afrika Mashariki inayopita katika kata ya Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga, wamebariki kuendelea kwa ujenzi wa mradi huo huku wakisema hawawezi kuzuia ujenzi huo kupita kwenye eneo lao kwani ni mradi muhimu kwa maendeleo yao. Wakizungumza na Mwananchi Digital kijijini hapo wamesema kuwa kilichotokea walipokaa na Serikali kujadili ujenzi walipewa taarifa kwamba mradi utapita kwenye msitu wao wa hifadhi, ambao ndani yake kuna chanzo cha maji lakini pia ni eneo ambalo wanafanyia matambiko yao

▶︎
SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

▶︎
WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"

▶︎
KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

▶︎
EH...!! Wanawake TANGA walia na Wanaume kutowapumzisha USIKU

▶︎
Mfangano Island; The home to the assimilated Abasuba community from Buganda kingdom.

▶︎
🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU

▶︎
I turned an old van into a 2-STORY tiny house

▶︎
Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
Ujenzi barabara ya lami Kwamsisi Handeni wahujumiwa, Rc atoa onyo kali

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 09, 2026 - ZANZIBAR YAANZA KULETA MAFUTA YAKE KUTOKA UARABUNI

▶︎
Africa’s Eden: Ngorongoro Crater, Tanzania

▶︎
BUNGE LA BAJETI | KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU | 15/06/2026

▶︎
Wananchi Handeni wamlilia Waziri Mkuu Majaliwa kufuatia makao makuu ya wilaya kubadilishwa eneo

▶︎
ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE

▶︎
Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko

▶︎
Liberia, fatal rains - The roads of the impossible

▶︎
MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"

▶︎
ZIARA YA KIKAZI MKOANI UFUNGUZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA HANDENI-MKATA

▶︎
