ISIOLO YAANDAA MASHINDANO YA HUDUMA YA KWANZA KANDA YA MASHARIKI YA JUU

Mashindano ya huduma ya kwanza kwa kanda ya Mashariki ya Juu yamefanyika katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Isiolo, yakiwashirikisha washiriki kutoka magatuzi ya Isiolo , Marsabit na Samburu Akizungumza baada ya kukamilika kwa mashindano hayo, Januaris Kasanga , ambaye ni Afisa wa Usimamizi wa Majanga wa Kanda ya Mashariki ya Juu wa shirika la msalaba mwekundu , amesema kuwa washiriki walihusisha wanafunzi wa shule za msingi, shule za upili pamoja na mashirika yanayojihusisha na masuala ya usimamizi wa majanga. Ameongeza kuwa timu kutoka magatuzi ya Isiolo na Samburu ndizo zitakazowakilisha kanda ya Mashariki ya Juu katika mashindano ya kitaifa yatakayofanyika jijini Nairobi. Kwa mujibu wa Kasanga , lengo kuu la kuandaa mashindano hayo ya huduma ya kwanza ni kuimarisha maandalizi ya kukabiliana na majanga mbalimbali yanayotokea mara kwa mara, hususan yale yanayotarajiwa wakati wa mvua ya El Niño pamoja na vurugu zinazoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi kuu. Naye Juma Fredrick , msimamizi wa timu ya Samburu, amesema ameridhishwa na kiwango cha mashindano hayo, akiyataja kama hatua muhimu kutoka ngazi ya kaunti hadi ngazi ya kikanda, kuelekea mashindano ya kitaifa. Ameongeza kuwa mwaka uliopita waliwakilishwa na timu moja pekee, lakini mwaka huu wamefanikiwa kupeleka timu mbili katika mashindano ya kitaifa. Fredrick amesisitiza kuwa kuwapa wanafunzi ujuzi wa huduma ya kwanza ni jambo la msingi kwani utawawezesha kujisaidia wao wenyewe pamoja na kusaidia familia na jamii zao pindi ajali au majanga yanapotokea. Kwa upande wake, Zuhura Abdikadir, ambaye ni mhudumu wa huduma ya kwanza wa kujitolea wa shirika la msalaba mwekundu katika tawi la Isiolo , amesema hii ni mara ya pili kwao kufuzu hadi ngazi ya kitaifa na wanatarajia kurejea na ushindi. Naye Fatuma Hussein, ambaye pia ni mhudumu wa huduma ya kwanza wa kujitolea wa shirika la msalaba mwekundu katika tawi la Isiolo, amesema amefurahishwa na mashindano hayo na ameishukuru Shirika la Msalaba Mwekundu kwa kuandaa mashindano ya huduma ya kwanza kwa kanda ya Mashariki ya Juu. Join this channel to get access to perks:    / @wasotv   WASO TV - Informing and Entertaining

ZAIDI YA MICHE 160,000 YAPANDWA ISIOLO KATIKA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
▶︎

ZAIDI YA MICHE 160,000 YAPANDWA ISIOLO KATIKA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Sifuna declares intention to run for president in 2027
▶︎

Sifuna declares intention to run for president in 2027

Cooking Giant Beef Leg In Sweet Mulberry Marinade!
▶︎

Cooking Giant Beef Leg In Sweet Mulberry Marinade!

🔴BREAKING:  DCP's Sammy Ngotho wins Ol Kalou by-election with 35, 440 votes
▶︎

🔴BREAKING: DCP's Sammy Ngotho wins Ol Kalou by-election with 35, 440 votes

MAABARA YA KISASA YA MIKROBAIOLOJIA YAZINDULIWA KATIKA HOSPITALI YA MAFUNZO NA RUFAA YA ISIOLO
▶︎

MAABARA YA KISASA YA MIKROBAIOLOJIA YAZINDULIWA KATIKA HOSPITALI YA MAFUNZO NA RUFAA YA ISIOLO

Eating in Africa's WILDEST Fish Market!! Seafood Factory!!
▶︎

Eating in Africa's WILDEST Fish Market!! Seafood Factory!!

More Kenyans return home after xenophobic attacks in South Africa escalate
▶︎

More Kenyans return home after xenophobic attacks in South Africa escalate

GUN SALUTE,CRY AND SORROWS AS GSU OFFICER WHO WAS KILLED IN TURKANA IS BURIED!
▶︎

GUN SALUTE,CRY AND SORROWS AS GSU OFFICER WHO WAS KILLED IN TURKANA IS BURIED!

LHRC TLS, Slaa Wamshtaki Waziri Katambi Kwa Kufungia Mikutano ya Vyama
▶︎

LHRC TLS, Slaa Wamshtaki Waziri Katambi Kwa Kufungia Mikutano ya Vyama

MPANGO WA GUNDI ASILIA NA UBANI WAZINDULIWA ISIOLO
▶︎

MPANGO WA GUNDI ASILIA NA UBANI WAZINDULIWA ISIOLO

Dee Mwango’s Village Life After Travelling to 80+ Countries | Love, Loss & Finding Happiness Again
▶︎

Dee Mwango’s Village Life After Travelling to 80+ Countries | Love, Loss & Finding Happiness Again

Standard Group yajibu vikali chapisho la Ruto X, yatetea uhuru wa vyombo vya habari
▶︎

Standard Group yajibu vikali chapisho la Ruto X, yatetea uhuru wa vyombo vya habari

NTV LIVE | Skill Up Africa 2026
▶︎

NTV LIVE | Skill Up Africa 2026

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.
▶︎

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.

ISIOLO YAPOKEA JENGO LA KISASA LA UZAZI KUTOKA KWA WAKFU WA SAFARICOM
▶︎

ISIOLO YAPOKEA JENGO LA KISASA LA UZAZI KUTOKA KWA WAKFU WA SAFARICOM

MUMINA BONAYA AHUTUBIA WAKAZI WA MALKAGALA WAKATI WA SHEREHE ZA MADARAKA DAY 2026, ISIOLO
▶︎

MUMINA BONAYA AHUTUBIA WAKAZI WA MALKAGALA WAKATI WA SHEREHE ZA MADARAKA DAY 2026, ISIOLO

Dr. Marianne Mureithi makes history as first female Medical Microbiology professor
▶︎

Dr. Marianne Mureithi makes history as first female Medical Microbiology professor

ITAKULIZA HOTUBA HII YA UKOMBOZI NA UZALENDO WA MFALME JPM KWA SISI WATOTO WAKE.
▶︎

ITAKULIZA HOTUBA HII YA UKOMBOZI NA UZALENDO WA MFALME JPM KWA SISI WATOTO WAKE.

History of The Kingdom of Benin: From Origin to Igodomigodo to Edo Empire
▶︎

History of The Kingdom of Benin: From Origin to Igodomigodo to Edo Empire

JIDA MALIYU WE ARE ONE
▶︎

JIDA MALIYU WE ARE ONE