MAFURIKO YAHARIBU HOSTEL YA WANACHUO MTWARA| HAWANA CHAKULA, MAVAZI WAIANGUKIA SERIKALI
Jumla ya Wanachuo 35 ambao wote ni wakike wa Chuo kikuu cha saut na wale wa Chuo cha Utumishi wa umma kutoka mkoani Mtwara, kwa masikitiko makubwa wamepaza sauti zao na kuomba msaada baada ya mafuriko kuvamia Hosteli wanayoishi ya Prorata Mtaa wa Kiyangu B maeneo ya Bima Manisapaa ya Mtwara Mikindani usiku wa Februali 3 2025, kutokana na Mvua zinazoenelea kunyesha na kusababisha athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na kubomoka kwa ukuta wa uzio wa Hosteli hiyo na kuzorotesha usalama wao, kuharibika Vyakula vyao, kupoteza simu zao, Madaftari yao kusombwa na kujikuta wakiwa hawana la kufanya na wengine maisha yao ni tia maji tia maji. Akizungumza na Faida Online tv Watu wa Field, Diwani wa Kata ya Shangani Mhe. Abuu Mohamed Abdallah, akiwa katika eneo la tukio amesema hali hiyo imesababishwa na uwepo wa kifusi kilichopo barabarani karibu na eneo hilo kwa ajili ya ukarabati wa Barabara ambacho kinazuia maji kupita kwenye mkondo wake, huku akisisitiza kuwa kifusi hicho kimeanza kuondolewa na Mkandarasi chini ya usimamizi wa TARURA baada ya athari kutokea. Faida Online tv watu wa Field tumefika katika eneo hilo na kujionea hali ilivyo huku Mabinti hao wakionekana kukosa amani mithiri ya vifaranga vilivyotelekezwa na mama kuku, Mabinti hawa, kati yao wapo wanaotembea na funguo za mafanikio yao na Familia zao kwa ujumla, wapo wanaosomeshwa kwa michango ya ukoo mzima ambapo fedha ya matumizi ikitumwa leo, nyingine ni mpaka mwezi ujao, Bila kupatiwa msaada wa hali na mali wataishije na ikizingatia kuwa ni Watoto wa kike. Nae Ndugu Maulid Mwisho ambae ni kaimu Meneja wa TARURA wilaya ya Mtwara amesema uwepo wa kifusi hicho sio sababu ya athari iliyojitokeza, Lakini baada ya malalamiko hayo tayari wamechukua hatua ya kuondoa kifusi hicho, ili kupunguza mrundikano wa maji yaliyokuwa yakituama. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU

SHUHUDIA MOTO UNAVYOWAKA JUU YA MAJI MTWARA NA WANANCHI WANAKUNYWA MAJI HAYO BILA WOGA

Défilé itangaje y'Igisirikare gishasha mu Burundi kitari Kimenyerewe

MAMA WA MIAKA 47 ADAIWA KUFUMANIWA NA MTOTO WA MIAKA 14 MTWARA | MAJIRANI WAJA JUU.

MAAJABU YA SHIMO LA MUNGU-MKOANI MTWARA

🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU 04 FB 2025 - WATU 40 WAOKOLEWA KWENYE MAFURIKO MTWARA

SOKO LA NYASI LAWAIBUA WAFANYABIASHARA WAKAANGA SAMAKI KWA WASIWASI WAKIHOFIA KULICHOMA.

BINTI WA MIAKA 9 ANAESOMA KING DAVID MTWARA ANYONGWA| MWILI WAKE WATELEKEZWA PORI LA LILUNGU

This Will Blow Your Mind!Rustic Huge Pumpkin Cake 🥮 Baked On A BARREL With Fresh Blended Juices

SHEIKH MWAIPOPO AMPASUA VIBAYA SANA USTADH JUMA NA MUSOMA "UMEINGIA CHOO CHA KIKE"

الراجل لي تزوجتو تصفيها ليه.. هاد المجرمة عمرني مانسيتها | الضابط الخراز يحكي تفاصيل القصة

Wasichana na Amani — Peace Through Young Women’s Voices

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

Giant 350+KG kabuli pulao cooking recipe in Afghanistan | Afghanistan's Traditional street food

AJALI YA GARI YAUA MKE NA MUME WAKIWA WAMELALA NDANI| DEREVA AKANDAMIZWA NA GOGO

UPOTEVU NA MAUAJI YA WATOTO MTWARA NA LINDI KWAWAIBUA WANANCHI.

ከጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ጋር የተደረገ ቆይታ

Achoma chumba Cha aliyekua mumewe, mke asikitika, Kianga Zanzibar.

MANGE KIMAMBI KUWAKATA WANAHARAKATI WA SABASABA 7/7

MOST CHEAP STREET FOOD IN AFGHANISTAN | KABULI PULAO | ROAS CHICKEN | BIRYANI RECIPE | STREET FOOD

