UPOTEVU NA MAUAJI YA WATOTO MTWARA NA LINDI KWAWAIBUA WANANCHI.
Wazazi, Walezi na Wanajamii kwa ujumla wamepaza sauti kutokana na kutokea kwa Vifo kadhaa vya Watoto vlivyotokana na kunyongwa na Watu wasiojulikana katika Mikoa ya Mtwara na Lindi huku Wanajamii hao wakiwaasa Wananchi wengine kuwa makini na Watoto wao na hata kutoa taarifa pale wanapomuona Mtu ambae hawamuelewi. Hata hivyo Wazazi na Walezi hao wamewataka Watoto kuwa makini ikiwa ni pamoja na kukataa lifti kwa Mtu wasiyemjua wakati wa kwenda na kurudi Shule ili kuepuka kutoroshwa. Wengina pia wamehusianisha Vitendo hivyo vya kikatili na imani za kishirikina kuwa wenda kuna watu wametumwa kuwakamata Watoto kwa ajili ya kuwaweka kwenye Mashamba ya Mikorosho kama Misukule yaani Ndondocha, na ikizingatiwa kuwa Msimu wa Korosho ndo unaingia. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU

NYUMBANI MTOTO ALIPOMUUA BABA'AKE na KUMFUKIA CHUMBANI - SIKU 6 ALIMUWEKEA SUMU BABU YAKE AKAFARIKI

AJALI YA GARI YAUA MKE NA MUME WAKIWA WAMELALA NDANI| DEREVA AKANDAMIZWA NA GOGO

MTOTO WA MIAKA 10 APOTEA NALIENDELE MTWARA| NDUGU WALALAMIKA WADAIWA KUTAKA KUMFANYA MSUKULE

MAMA IBRA BACCA NA WINGINE 6 WAGOMEA FIDIA ZNZ, WATU WANALALA KWA JIRANI “FIDIA NI NDOGO”

Pikipiki ya Maajabu Dar Inayoogopwa na Kila Mtu Inavyozidi Kuwa Gumzo

WATOTO WAWILI WA FAMILIA MOJA WAFARIKI NDANI YA WIKI MOJA| IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAJWA

BINTI WA MIAKA 9 ANAESOMA KING DAVID MTWARA ANYONGWA| MWILI WAKE WATELEKEZWA PORI LA LILUNGU

Waliopata ajali ya Meli waokolewa. #views #foryou #zanzibar #tanzania

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 30.06.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

JIKO la MKAA LAUA MTOTO wa MWAKA MMOJA BABATI - WAWILI WANUSURIKA - MAMA ALIA AKISIMULIA...

"PLU is DANGEROUS!" Odonga Otto EXPOSES Muhoozi, Military Takeover & L.O.P Plot

AMAKURU YO KUWA 29/6/2026

ADAIWA KUWAWA KWA KUCHINJWA SHINGO NYUMBANI KWAKE MLINZI ALIKUTA DAMU ZIMATAPAKAA.

WAZIRI MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUCHAKATA CHUMVI KILICHOPO WILAYA YA KILWA MKOANI LINDI

BAKAID TANZANIA WAENDESHA MDAHALO KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI KATA YA MAHURUNGA MTWARA

ZAECA ZANZIBAR WASHAURIWA KUA NA KAULI ZA HESHIMA KWA VIONGOZI AFISA ELIMU AFAFANUA

Kesi ya maafisa Polisi Mtwara wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara yahairishwa | Wakili afunguka

