MKUU WA MAJESHI AWATAKA WANANCHI KUWAENZI MASHUJAA
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda, amewataka wananchi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuokoa Taifa dhidi ya maadui ujinga, maradhi na umasikini, pamoja na kuwaenzi mashujaa waliopigana na kufa kwa ajili ya Taifa. Ametoa rai hiyo wakati akisoma hotuba kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya mashujaa wa Vita vya Majimaji, ambapo alikuwa mgeni rasmi wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya kumbukumbu ya mashujaa wa Vita vya Majimaji Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma. "Rai yangu ni kwamba mashujaa waliolala mahali hapa na kwingineko watutie hamasa kupambana kadri tuwezavyo ili kuokoa Taifa letu dhidi ya maadui hao, maana bado wapo. Kuendekeza uvivu, uzembe, madawa ya kulevya, rushwa, ubadhilifu wa mali za umma na malalamiko bila kufanya kazi ni kuzisaliti roho zilizoangamizwa na wakoloni kwa ajili yetu," alisema Jenerali Mkunda. Pamoja na mambo mengine, Jenerali Mkunda amesema mashujaa hao waliangamia kuulinda utamaduni wa Mtanzania, na hivi sasa vilio ni vingi vya mmonyoko wa maadili ya kitanzania, hali inaonyesha kuwa msimamo wa mashujaa umeachwa, hivyo ni wakati wa kujitathmini na kuwaenzi mashujaa kwa kuuenzi utamaduni uliolindwa na mashujaa kwani ndio unaotambulisha Taifa la Tanzania.

MURKOMEN'S GOONS PANIC AS RIGATHI RECEIVES FULL FLEET OF ARMORED SUV'S!

Mkuu wa Majeshi Akagua Gwaride la Askari Wapya wakati wa Kufunga Mafunzo-RTS Kihangaiko

MSILIOGOPE JESHI LA JWTZ NI JESHI LENU WANANCHI WOTE, KAMA UTALIOGOPA BASI UNA SABABU YAKO...

KENYANS LAUGHING AS POLICE REMAIN PROTESTING ALONE AGAINST RUTO IN NAIROBI

Kitui East UDA MP Nimrod Mbai lectures MPs who depend on Kalonzo to be elected!!

Je, polisi na jeshi watazuia maandamano ya 7/7 Tanzania? Katika Dira ya Dunia TV.

Maafisa wa JWTZ walipotunukiwa nishani za uafisa wa jeshi

TUNDU LISSU LEO BUNGENI, WALISEMA HATA HATOSHI LEO WANAMSIFIA, MWIGULU AMPIGA KIJEMBE BULAYA

CCM YAKERWA WANASIASA KUKAMATWA NA POLISI| ALIYEWAKAMATA CHADEMA NI KAMA AMEWAPA TU KIKI.

Another colourful military parade by Rwanda Defence Force || Officer Cadets Pass Out

Officer Cadets Commissioning Ceremony| Gako-3 October 2025

Mwerekera wa ũteti na ũtongoria; #Kĩmũrĩ

Uganda Military Academy, Kabamba: Gen. Muhoozi K here as Museveni passes out 352 UPDF officer cadets

President Trump Bilat meeting with Turkish President Recep Tayyip Erdoğan

Presidential Inauguration 2024: RDF Colorful parade

SERIKALI HAIPANGIWI TAREHE,HAKUNA KICHWA NGUMU MBELE YA SHERIA,WAZIRI KATAMBI ATOA TENA MAELEKEZO

SABA SABA: Kenyans force Police to protest in Nairobi.

DRAMA!! See what happened in Bungoma after Didmus Barasa said 'MIMI SIO SIFUNA!'🔥

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,

