WAZIRI MKUU Alivyokiwasha ''DC KILOLO Haiwezekani Ufukuze Watumishi Wote Hawa''

WAZIRI MKUU Alivyokiwasha ''DC KILOLO Haiwezekani Ufukuze Watumishi Wote Hawa'' WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happi afuatilie utendaji kazi kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kilolo kufuatia watumishi 14 wa ofisi hiyo wakiwemo madereva 10 kuhamishwa baada ya Mkuu wa Wilaya hiyo Asia Abdallah kudai kuwa hawafanyi kazi ipasavyo. Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema ni mhuimu kwa viongozi wakatambua dhamana zao katika utekelezaji wa shughuli zao pamoja na kuwatambua, kuwajali na kuwathamini watumishi wa kada zote wakiwemo madereva, hivyo ni vizuri wawaandae kwa kuwapa maelekezo kwa wakati kwa kuwa nao ni binadamu na wanafamilia. Mapema, Waziri Mkuu alikagua mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya na kupokea taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo ambapo alisema ameridhishwa na ujenzi huo uliogharimu sh. bilioni nne na alitumia fursa hiyo kuwapongeza viongozi wa wilaya hiyo akiwemo Mkurugenzi pamoja na mkandarasi anayenga. (HABARI MPYA DAILY) https://www.youtube.com/playlist?list... (HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA) https://www.youtube.com/playlist?list... (GLOBAL RADIO TV) https://www.youtube.com/playlist?list... (EXCLUSIVE INTERVIEWS) https://www.youtube.com/playlist?list...

"Sibahatishi" WAZIRI MKUU MAJALIWA ALIVYOWASIMAMISHA WATUMISHI HAWA/WIZI WA ARDHI AKUTWA NA KESI 16
▶︎

"Sibahatishi" WAZIRI MKUU MAJALIWA ALIVYOWASIMAMISHA WATUMISHI HAWA/WIZI WA ARDHI AKUTWA NA KESI 16

KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"
▶︎

KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"

Baba Mtaje hapa huyo Afisa aliyekuzuia Kujenga kwenye Eneo lako, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kilolo
▶︎

Baba Mtaje hapa huyo Afisa aliyekuzuia Kujenga kwenye Eneo lako, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kilolo

In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick  Kabendera
▶︎

In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick Kabendera

WAZIRI MKUU AKUTA MADUDU BWALO LA MILIONI 774, AMSIMAMISHA KAZI MHANDISI "MKURUGENZI MSTAAFU AITWE"
▶︎

WAZIRI MKUU AKUTA MADUDU BWALO LA MILIONI 774, AMSIMAMISHA KAZI MHANDISI "MKURUGENZI MSTAAFU AITWE"

WAZIRI MKUU ALIVYOFICHUA MADUDU BUNDA - MKOANI MARA LEO.
▶︎

WAZIRI MKUU ALIVYOFICHUA MADUDU BUNDA - MKOANI MARA LEO.

"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU
▶︎

"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU

ISHA MASHAUZI AFUNGUKA KUTOKA KIMAPENZI na MZEE YUSUPH - ''SIPENDI KUULIZWA - SIOGOPI KUCHUKULIWA''
▶︎

ISHA MASHAUZI AFUNGUKA KUTOKA KIMAPENZI na MZEE YUSUPH - ''SIPENDI KUULIZWA - SIOGOPI KUCHUKULIWA''

KIMEUMANA!!! WAZIRI MKUU AKASIRIKA UFISADI MARA, "RPC AMCHUKUE MWEKA HAZINA"
▶︎

KIMEUMANA!!! WAZIRI MKUU AKASIRIKA UFISADI MARA, "RPC AMCHUKUE MWEKA HAZINA"

China's Impossible Suspension Bridge | Engineering Marvel
▶︎

China's Impossible Suspension Bridge | Engineering Marvel

Waziri mkuu Majaliwa alichomfanya mkurugenzi wa Mkalama  " Kwamwezi unapata shilling ngap na hapa"
▶︎

Waziri mkuu Majaliwa alichomfanya mkurugenzi wa Mkalama " Kwamwezi unapata shilling ngap na hapa"

"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
▶︎

"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration
▶︎

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA MEATU - 08/09/2018
▶︎

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA MEATU - 08/09/2018

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

MBUNGE SHIGONGO AMLIZA MAMA ALIYEMWAMBIA AENDE BENKI AKACHUKUE PESA - ASEMA ALIDHANI UTANI...
▶︎

MBUNGE SHIGONGO AMLIZA MAMA ALIYEMWAMBIA AENDE BENKI AKACHUKUE PESA - ASEMA ALIDHANI UTANI...

WAZIRI MKUU AMTUMBUA MKURUGENZI WA JIJI LA DSM NA WENZAKE 9 KWA TUHUMA ZA UPIGAJI WA BILIONI 10
▶︎

WAZIRI MKUU AMTUMBUA MKURUGENZI WA JIJI LA DSM NA WENZAKE 9 KWA TUHUMA ZA UPIGAJI WA BILIONI 10

MZEE ATISHIA KUJIUA MBELE ya WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIELEZA MKASA wa MWANAYE ALIYEFUNGWA na AKAPOTEA
▶︎

MZEE ATISHIA KUJIUA MBELE ya WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIELEZA MKASA wa MWANAYE ALIYEFUNGWA na AKAPOTEA

DC KILOLO AKATAA MADEREVA 10,MAJALIWA ATOA MAAGIZO
▶︎

DC KILOLO AKATAA MADEREVA 10,MAJALIWA ATOA MAAGIZO

Waziri Mkuu Akasirika Awatumbua Watumishi Wawili Hapo Hapo Ziarani Kilolo Mkoani Iringa
▶︎

Waziri Mkuu Akasirika Awatumbua Watumishi Wawili Hapo Hapo Ziarani Kilolo Mkoani Iringa