Waziri Mkuu Akasirika Awatumbua Watumishi Wawili Hapo Hapo Ziarani Kilolo Mkoani Iringa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, awasha moto baada kugundua mapungufu na kasoro zilizojionyesha katika mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo iliyopo kijiji cha Mbigili kata ya Lugalo wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa. Majaliwa alionesha kutoridhishwa na hali ya ujenzi wa bwalo la shule hiyo kwani zaidi ya Shilingi milioni 774 zilitengwa kujenga bwalo hilo lakini mpaka sasa bwalo hilo limefikia asilimia 40 huku pesa nyingine zilizobaki hazijulikani zilipo jambo linalopelekea mradi huo kushindwa kuendelea. Kasoro nyingine kubwa zilizobainika baada ya ukaguzi wa shule hiyo ni ukosefu wa nyavu za kuzuia mbu na wadudu wengine kwenye baadhi ya madirisha wakati mkandarasi ameshalipwa fedha yote, uwepo wa viti vibovu na meza mbovu za wanafunzi ambavyo vimekutwa vikiwa vimepasuka na vingine vimeanza kujikunja wakati havijaanza kutumika. hayo yalijili kwenye ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wilayani Kilolo Mkoani Iringa Jumatatu ya Julai 08, 2024. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments. #FocusDigitoTV .................. Tufuatilie Zaidi kupitia: INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest. Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing We Love You | Tunakupenda Regards Team FocusDigitoTV

DRAMA In Parliament As Ndindi Nyoro Badly Clashes With Kimani Ichung'wah Over National Debt!

DIWANI AZOMEWA NA WANANCHI MBELE YA WAZIRI MKUU IRINGA Aomba Kuondoa Kauli Yake

KUFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA_WILAYA YA IGUNGA.Director zengo saida.

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

PETY POLITICKING,THROWING JABZ AT VILLAGERS TO LOOK INTELLIGENT.Ndindi Nyoro Opens war with Ichungwa

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA IRINGA MJINI

KESI YA UHAINI YA LISSU YAIBUKA MAPYA, CHADEMA WADAI POLISI WAMEPANGA VURUGU MAHAKAMANI
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 3]](https://i.ytimg.com/vi/U0K4hrTZCns/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLC-flwAhBGBDkjcv5kPWmQ6FbS60Q)
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 3]

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU

Gachagua, Kalonzo & How To Defeat Ruto | Tony Gachoka

BREAKING NEWS NELSON HAVI BLASTS JUSTICE ERIC OGOLA LIVE ON CAMERA TELL KENYANS THE TRUTH

Waziri Mkuu Nisaidie Toka Nimestaafu Sijalipwa Mafao Yangu, Nikienda Wananizungusha tu

EXPOSED: Rigathi Gachagua Brutal Final Move to Force William Ruto Out of Power in 2027 | Lee Makwiny

Lawyer Omari Explains Why Gachagua Has a High Chance of Winning at the Court of Appeal

LIVE KUTOKA IRINGA: RC HAPI NA WANANCHI USO KWA USO MPAKA USIKU

Why did MP George Kapten die in his sleep on Christmas Day? | Kapten's Fatal Christmas

Breaking! Sam George Sent Out From Parliament After H0t Cr@sh With Hon Abena Osei Asare Over Scandal

🔴 #LIVE: WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA IFUNDA-IRINGA

🔴አዲስ ስብከት ‼️አትባክኑ ጊዜያችሁ ተጠቀሙ-ጊዜ የለኝም አትበሉ //ራሳችንን የምንለውጥበት ድንቅ ትምህርት //የሚያሳርፍ //ርዕሰ ሊቃውንት አባ ገብረኪዳን

