MTWARA YAFUNGUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA YA CHUMVI MKOA WA MTWARA

Mkoa wa Mtwara umeendelea kujidhihirisha kuwa kitovu muhimu cha uwekezaji katika sekta ya chumvi kutokana na uwepo wa fukwe zinazofaa kwa uzalishaji, maboresho ya mazingira ya biashara na ongezeko la uzalishaji linalofikia takribani tani 90 kwa majaruba manne katika baadhi ya maeneo ya uzalishaji. Kutokana na hatua hiyo, wachimbaji na wazalishaji wa chumvi wameanza kunufaika na fursa mpya za kiuchumi kupitia kuongezeka kwa uzalishaji, ajira na upanuzi wa maeneo ya uzalishaji. Akizungumza katika mahojiano maalum, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mtwara, Winnifrida Mrema, amesema sekta ya chumvi mkoani humo inaendelea kukua kwa kasi kutokana na kuimarika kwa shughuli za uzalishaji pamoja na matumizi ya teknolojia za kisasa katika uchakataji wa chumvi. Amesema maboresho hayo yanalenga kuongeza ubora wa chumvi kwa matumizi ya majumbani, viwandani na mifugo, huku yakichochea ajira kwa wananchi wa maeneo yanayozunguka mashamba ya chumvi. “Mtwara ina mazingira rafiki kwa uzalishaji wa chumvi na Serikali inaendelea kuhamasisha uwekezaji katika sekta hii ili kuongeza mapato kwa wananchi na taifa kwa ujumla,” amesema Mrema. KITUO KINACHO JIHUSISHA NA HABARI MBALIMBALI ZA KIJAMII NA KUELIMISHA UMMA KUHUSU MATUKIO YANAYO JIRI KILA WAKATI HAKIKISHA UNA SUBSCRIBE CHANEL YETU USIPITWE NA TUKIO LOLOTE HAPA NCHINI ( Email: [email protected](+255752268249 / +255785537878)

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

IFAHAMU HISTORIA YA MJI WA MIKINDANI ULIOPO NDANI YA MKOA WA MTWARA NA YALIYOPO SASA
▶︎

IFAHAMU HISTORIA YA MJI WA MIKINDANI ULIOPO NDANI YA MKOA WA MTWARA NA YALIYOPO SASA

DC WA KAHAMA AONGOZA KAMATI YA USALAMA KUTIMUA WANANCHI KWENYE MGODI WA NHUMBI, HAKUTAKA WAANDISHI
▶︎

DC WA KAHAMA AONGOZA KAMATI YA USALAMA KUTIMUA WANANCHI KWENYE MGODI WA NHUMBI, HAKUTAKA WAANDISHI

WAZIRI MBARAWA ATUA BANDARI MPYA MTWARA AAGIZA UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE
▶︎

WAZIRI MBARAWA ATUA BANDARI MPYA MTWARA AAGIZA UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE

BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA
▶︎

BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA

MTWARA WARUDISHA KADI ZA CCM HAWAMTAKI MGOMBEA/WASUSIA UCHAGUZI KAMA NOMA NAIWE
▶︎

MTWARA WARUDISHA KADI ZA CCM HAWAMTAKI MGOMBEA/WASUSIA UCHAGUZI KAMA NOMA NAIWE

WAKULIMA WALAZIMIKA KUSITISHA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KUTOKANA NA KUKAUKA KWA ENEO HILO.
▶︎

WAKULIMA WALAZIMIKA KUSITISHA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KUTOKANA NA KUKAUKA KWA ENEO HILO.

SERIKALI YASISITIZA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA KUWAENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO
▶︎

SERIKALI YASISITIZA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA KUWAENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO

JUA JINSI MAKAA YA MAWE, YANAVYOTENGENEZWA KWENYE BANDARI YA MTWARA  NA YANAVYOSAFIRISHWA..
▶︎

JUA JINSI MAKAA YA MAWE, YANAVYOTENGENEZWA KWENYE BANDARI YA MTWARA NA YANAVYOSAFIRISHWA..

LIVE; WAZIIRI WA TAMISEMI ASHUDIA UTIAJI WA SAINI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KAHAMA
▶︎

LIVE; WAZIIRI WA TAMISEMI ASHUDIA UTIAJI WA SAINI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KAHAMA

SERIKALI YAPUNGUZA BEI YA PANGO KUTOKA 45,000 HADI KUFIKIA 20,000 KWENYE MACHIMBO YA CHUMVI MTWARA.
▶︎

SERIKALI YAPUNGUZA BEI YA PANGO KUTOKA 45,000 HADI KUFIKIA 20,000 KWENYE MACHIMBO YA CHUMVI MTWARA.

MTWARA YAFUNGUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA YA CHUMVI-
▶︎

MTWARA YAFUNGUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA YA CHUMVI-

#TBC1: WEKEZA TANZANIA:  KUMEKUCHA BANDARI YA MTWARA BAADA YA UWEKEZAJI
▶︎

#TBC1: WEKEZA TANZANIA: KUMEKUCHA BANDARI YA MTWARA BAADA YA UWEKEZAJI

BEI YA MNADA WA LEO WA MAMCU/WAKULIMA WAFUNGUKA JUU YA BEI
▶︎

BEI YA MNADA WA LEO WA MAMCU/WAKULIMA WAFUNGUKA JUU YA BEI

Mtwara town Driving Tour - Gas City (Tanzania)
▶︎

Mtwara town Driving Tour - Gas City (Tanzania)

OFISI ZA WIZARA YA NISHATI MTUMBA- KITOVU CHA UTOAJI WA HUDUMA BORA SEKTA YA NISHATI
▶︎

OFISI ZA WIZARA YA NISHATI MTUMBA- KITOVU CHA UTOAJI WA HUDUMA BORA SEKTA YA NISHATI

SIRI YA BANDARI YA MTWARA KUFANIKIWA KIBIASHARA
▶︎

SIRI YA BANDARI YA MTWARA KUFANIKIWA KIBIASHARA

Miaka 5 ya Mabadiliko Mtwara.
▶︎

Miaka 5 ya Mabadiliko Mtwara.

SAFARI ZA MELI YA ABIRIA MTWARA-COMORO KUANZA
▶︎

SAFARI ZA MELI YA ABIRIA MTWARA-COMORO KUANZA

MKAA TSH 700/= KIKUNDI CHA MACHIMBO NGUVU KAZI MITWERO
▶︎

MKAA TSH 700/= KIKUNDI CHA MACHIMBO NGUVU KAZI MITWERO