UJENZI WA BARABARA YA BIGWA - KISAKI KM 78 KWA KIWANGO CHA LAMI MKANDARASI AMESHAPATIKANA
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Mkandarasi atakayetekeleza Ujenzi kwa Kiwango cha lami barabara ya Bigwa – Mvuha – Kisaki (km 133.28), sehemu ya Bigwa – Mvuha (km 78) ameshapatikana na Serikali ipo katika hatua za Mwisho za kusaini Mkataba wa Ujenzi wa sehemu hiyo ya barabara. Bashungwa ameeleza hayo kwa njia ya simu wakati akizungumza na Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Mhe. Hamis Taletale, wakati alipoombwa kutoa ufafanuzi kwa wananchi wa kata ya Mkuyuni wilayani Morogoro Vijijini kuhusu ujenzi wa barabara hiyo.

▶︎
RAIS DKT. MAGUFULI AZNGUMZA NA WANANCHI WA KISAKI MOROGORO KABLA YA KUELEKEA MTO RUFIJI

▶︎
BARABARA MPYA YA KULIPIA 'EXPRESS WAY' ITAJENGWA KUTOKA DAR HADI MOROGORO, "AJALI ZITAPUNGUA"

▶︎
NEW AIRPORT INSIDE THE NYERERE NATIONAL PARK

▶︎
BARABARA YA BIGWA KISAKI 78KM KUJENGWA KWA LAMI NA 11KM KUTOKA UBENA ZOMOZI, NGERENGERE MPAKA MVUHA

▶︎
MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

▶︎
Switzerland vs. Canada Highlights 2026 FIFA World Cup | Sportschau

▶︎
Zaidi ya Tsh. Bil 347 kutekeleza miradi ya kitaifa Mkoani Morogoro

▶︎
WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

▶︎
BARABARA YA TANGA - PANGANI YAANZA KUWEKWA LAMI

▶︎
TANROADS WAFUNGUKA UJENZI WA BARABARA YA KIBAHA-MOROGORO JINSI ITAKAVYOKUWA INALIPA

▶︎
KABUDI ATOBOA SIRI YA CV YAKE, KUMBE MWL. NYERERE ANAHUSIKA

▶︎
Shuhudia Mstaafu Kikwete akiwa mkoani Lindi kwenye ujenzi wa chuo cha UDSM

▶︎
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

▶︎
MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

▶︎
BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

▶︎
🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

▶︎
BABU TALE ALIA NA BARABARA YA BIGWA , KISAKI

▶︎
DKT. MWIGULU AAGIZA SULUHU YA KUDUMU DARAJA LA MAGOLE –DUMILA

▶︎
SIKU 100 ZA MAMA SAMIA MKURANGA YATENGA MAENEO KWA AJILI YA KONGANI YA VIWANDA

▶︎
