NDUGULILE ATINGA BUNGENI BAADA YA USHINDI WHO, AWATAJA MAKAMBA, RAIS SAMIA KUMSAIDIA KAMPENI

Mteule wa nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile amesema anatarajia kuanza kazi rasmi ifikapo Machi 2025, baada ya kupewa miezi sita kujipanga. Dk Ndugulile amesema hayo leo Jumanne, Septemba 3, 2024 jijini Dodoma wakati akitoa salamu zake bungeni, baada ya kukaribishwa na Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu. “Nimepewa miezi sita kujipanga, kuandaa maono yangu nitakapoanza kazi Machi mwakani, nia ya kufanya hivyo ninayo, sababu za kufanya hivyo ninazo na uwezo wa kufanya hivyo ninao. “Niwaombe mniombee, tuendeleze sala na dua nyingi kwani nafasi hii imebeba maono ya Watanzania na Waafrika wanatarajia makubwa, kikubwa niishukuru Serikali nzima na wabunge kwa kuniunga mkono nitakuwepo katika kipindi cha mpito, napokea maoni na ushauri kutoka kwenu,” amesema Dk Ndugulile. Dk Ndugulile anakuwa Mtanzania wa kwanza kushika nafasi hiyo, na wa kwanza Afrika Mashariki kushika nafasi hiyo. Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi

Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake
▶︎

Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

SIRI NZITO UTAJIRI WA NABII GEORDAVIE, KIKEKE AFIKA KWENYE JUMBA LAKE
▶︎

SIRI NZITO UTAJIRI WA NABII GEORDAVIE, KIKEKE AFIKA KWENYE JUMBA LAKE

AFRIKA YAFANYA MAAJABU 'SHARPNESS' YA MAYELE KOMBE LA DUNIA, WASAUZI DIMBANI LEO UCHAMBUZI WA NAHEKA
▶︎

AFRIKA YAFANYA MAAJABU 'SHARPNESS' YA MAYELE KOMBE LA DUNIA, WASAUZI DIMBANI LEO UCHAMBUZI WA NAHEKA

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI
▶︎

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

LIVE: Kwenye Kikao cha Familia Leo Tupo na Dkt. Faustine Ndugulile, Dondosha Swali Lako
▶︎

LIVE: Kwenye Kikao cha Familia Leo Tupo na Dkt. Faustine Ndugulile, Dondosha Swali Lako

Is the AfD a threat to Germany? Mehdi Hasan & Maximilian Krah | Head to Head
▶︎

Is the AfD a threat to Germany? Mehdi Hasan & Maximilian Krah | Head to Head

MH WAZIRI MKUU NIMECHOMEWA MOTO GARI YANGU NA TRA
▶︎

MH WAZIRI MKUU NIMECHOMEWA MOTO GARI YANGU NA TRA

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI
▶︎

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA SABA JUNI 25, 2026
▶︎

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA SABA JUNI 25, 2026

MJANE wa NDUGULILE ALIZWA na MANENO ya KIROHO KUTOKA kwa MBUNGE GWAJIMA MBELE ya JENEZA....
▶︎

MJANE wa NDUGULILE ALIZWA na MANENO ya KIROHO KUTOKA kwa MBUNGE GWAJIMA MBELE ya JENEZA....

My#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11  Broadcast
▶︎

My#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 Broadcast

#LIVE: RASMI BINGWA WA LIGI KUU KUJULIKANA KESHO/ YANGA KUWAVAA JKT TZ KESHO/ SIMBA KUWAVAA KMC
▶︎

#LIVE: RASMI BINGWA WA LIGI KUU KUJULIKANA KESHO/ YANGA KUWAVAA JKT TZ KESHO/ SIMBA KUWAVAA KMC

WANAHARAKATI: MJADALA MZITO KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU NA KATAMBI KULEKEA MAANDAMANO 77 FREE LISSU
▶︎

WANAHARAKATI: MJADALA MZITO KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU NA KATAMBI KULEKEA MAANDAMANO 77 FREE LISSU

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA
▶︎

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA

My B#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 roadcast
▶︎

My B#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 roadcast

Historia ya Maisha ya  Dk  Omar Ali Juma
▶︎

Historia ya Maisha ya Dk Omar Ali Juma

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao recipe | Roasted Chicken
▶︎

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao recipe | Roasted Chicken

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026