Shule ya English Medium ya Serikali ilivyoleta mtifuano na wazazi Moshi
Wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi J.K. Nyerere, iliyopo Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, wameijia juu Halmashauri ya Manispaa hiyo, kwa kutaka kuwahamisha wanafunzi zaidi ya 500 bila maridhiano baada ya shule hiyo kuwa ni ya Mchepuo wa masomo ya Kiingereza. Hatua hiyo, imekuja wakati shule zikitarajiwa kufunguliwa Jumatatu Januari 8, mwaka huu ambapo wazazi wa wanafunzi hao wameeleza kitendo cha kutakiwa kuwahamisha watoto wao katika shule hiyo bila makubaliano waliyokubaliana ni kitendo cha kuwachonganisha wananchi na serikali. Hata hivyo, wazazi hao walieleza kuwa, katika kikao cha mwisho cha bodi ya shule walichokaa waliambiwa wataletewa mrejesho mapema na kwamba mpaka kufikia jana wazazi hao walipewa majibu kwa barua kwamba wanatakiwa kuondosha watoto wao shuleni hapo na wachague shule ambazo wanataka watoto wakasome. Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe amesema kuhusu shule hiyo kuwa na mchepuo wa Kiingereza ilikuwa ni mchakato wa muda mrefu na kwamba hawajakurupuka na wazazi walishirikishwa.

Shule pekee ya Kiingereza ya Serikali jijini Dodoma yaiomba TEA kuongezewa madarasa

#live : PPP as a Strategic Financing Engine for FYDP IV and Tanzania Vision 2050.

#exclusive Mtandao hatari dawa za kulevya kupitia baharini, DCEA yaeleza udhibiti

Even kids will love eggplants with this delicious recipe! Easy and cheap eggplant recipe!

ARAW NG KASAL NG BATANG KATUTUBO PINIGILAN KO!MA SAVE KO KAYA ANG DALAGITA?

KINACHO ENDELEA KATIKA SHULE YA FARAJA SEMINARY

What’s pushing young New Zealanders out? - World Questions, BBC World Service

Inside the billion-dollar business of getting a visa | The Take

Which country has the best education in the world? - The Global Story podcast, BBC World Service

#YAFAHAMU MAJUKUMU YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA

#FAHAMU KILIMO CHA KAHAWA | SHAMBA DARASA | JINSI YA KUPANDA KWA VIPIMO | MBOLEA KUPANDIA NA KUKUZIA

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA SABA JUNI 25, 2026

Martha Karua breaks silence on Entebbe ordeal, details detention before deportation

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

What are some of the key issues facing Australia? - World Questions podcast, BBC World Service

Do you have rice and eggs at home? Make this simple but incredibly delicious recipe! # 321

Mama atumbikiza kichanga kwenye shimo la choo Moshi

Kongamano la Tano la Shule za Mitandao Jamii Nchini Tanzania lafanyika Wilayani Tarime Mkoa wa Mara

MAKALA MAALUM YA MAPAMBANO DHIDI YA MALERIA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI JUNE 2026.

