Mama atumbikiza kichanga kwenye shimo la choo Moshi
Moshi. Mwanamke mmoja, mkazi wa Mtaa wa Sabasaba, Kata ya Rau, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, anayefahamika kwa jina la Scholastica Ngowo (32), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutoa mimba na kutupa kichanga kinachodaiwa kuwa na umri wa takribani miezi saba kwenye shimo la choo. Inaelezwa kuwa mwanamke huyo ambaye ni mama wa watoto wanne alikuwa ni mjamzito na kwamba kwa siku kadhaa hakuonekana mtaani hapo mpaka hapo ilipobainika kuwa amejifungua kichanga hicho na kukitupa chooni. Kamanda wa Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani hapa, Jeremiah Mkomagi amethibitisha kuopolewa kwa kichanga hicho leo ambacho amesema kilitolewa kwenye shimo hilo tayari kikiwa kimefariki. Akizungumzia tukio hilo, mama mzazi wa binti huyo, Elizabeth Ngowo amesema tukio hilo limemhuzunisha sana na ni tukio la ukatili na kwamba halipaswi kufanywa na jamii. Naye, diwani wa kata hiyo, Stallone Malinda amesema tukio limewashangaza sana na kuonyesha ni namna gani ambavyo jamii imekosa hofu ya Mungu kwa kufanya matukio hayo ya kikatili na ya kinyama.

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

MHIFADHI ALIVOKABILIANA NA BLACK MAMBA MBUGANI

JINSI POLISI WALIVYOHUKUMIWA KUNYONGWA kwa KUMUUA MFANYABIASHARA wa MADINI MTWARA - SINDANO YA SUMU

SIMANZI NJOMBE MAZISHI YA MTOTO ALIYEFARIKI BAADA YA KUDAIWA KUPIGWA NA MAMA YAKE

JIKO la MKAA LAUA MTOTO wa MWAKA MMOJA BABATI - WAWILI WANUSURIKA - MAMA ALIA AKISIMULIA...

RICHARD WA ARUSHA ALIYEDAIWA KUMBAKA MWANAE YABAINIKA SI KWELI, MTOTO APIMWA HOSPITALI MBILI TOFAUTI

INAUMIZA SANA: MWANAFUNZI WA FORM SIX AMLIZA MAMA YAKE BAADA YA KUTOROKA NYUMBANI NA KUACHA UJUMBE

MKE WA Q CHIEF AFUNGUKA KUMBE NI DAKTARI MKUBWA, ADAI WALIKUTANA CHUMBA CHA UPASUAJI HAPENDI MZIKI

VILIO NA MAJONZI VYATANDA USIKU HUU MOTO MKUBWA WATEKETEZA NYUMBA ZA WAPANGAJI NA KARAKANA

Drone Footage Captures Widespread Destruction After Earthquake Hits La Guaira, Venezuela

WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

MTOTO HAPPYNESS AWALIZA WENGI MSIBANI KWA KAMANDA ABWAO - AONGEA KWA UCHUNGU MBELE ya IGP....

PART 2: PROF ASSAD ATOKWA NA MACHOZI MBELE YA KIKEKE, NILITISHIWA, AFUNGUKA MAZITO MNO

US and Iran Pause Military Strikes After Weekend of Escalation

WATCH THE SALUTE SHOTS FIRED DURING COMMANDER ABWAO'S FUNERAL

VIDEO: MABOMU KUMI YA VISHINDO YAPIGWA MBELE YA WAOMBOLEZAJI,HESHIMA YA MWISHO SACP RICHARD ABWAO

I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions

