HII NDO SHULE BORA ITAKAYOTENGENEZA HATIMA NJEMA YA MWANAO.

Hii ni shule ya PCEA ST. COLUMBA'S NURSERY AND PRIMARY kampasi ya MAKONGO. Ni shule yenye mandhari safi na miundombinu bora kwa maendeleo ya mtoto. Taaluma bora na Maadili Mema kwa mwanafunzi ndo msingi wetu. SHULE INA KAMPASI MBILI: -UPANGA iliyopo Barabara ya Obama, Mkabala na Hoteli ya PALM BEACH -MAKONGO iliyopo Barabara ya Makongo Goba - MAKONGO JUU. MLETE MWANAO APATE HAKI YAKE YA ELIMU SEHEMU SAHIHI.