NENO LA SIKU | Mathayo 21 | Maombi Ya Kuvunja Laana | Isaac Javan
Leo tunasoma kitabu cha Mathayo sura ya ishirini na moja. Na siku ya leo tunaenda kufanya maombi ya kuvunja laana. Vifungo vya laana ni moja ya vifungo vinavyotesa maisha ya watu wengi. Kuna kifungo cha laana kinachofanya kazi kwenye maisha ya mtu binafsi, lakini pia kuna kifungo cha laana kinachofanya kazi kwenye familia au ukoo. Na vyote vina madhara makubwa sana ya kiroho. Katika somo la leo, utajifunza maana ya laana, na vyanzo vyake. Lakini pia utapata nafasi ya kuomba pamoja na mimi, ili kwa pamoja tuweze kuvuka na kuvishinda vifungo vya laana vinavyofuatilia maisha yetu. Nakuombea YESU akukumbuke, na akufungue siku ya leo. Nakushauri utakapokuwa unaomba, omba kwa kumaanisha ili uweze kupata matokeo mazuri ya maombi haya. Mungu akubariki sana na kukutunza. Amen

NENO LA SIKU | Mathayo 22 | Maombi Ya Kushinda Maadui | Isaac Javan

NENO LA SIKU | Mathayo 26 | Maombi Ya Kuvunja Maagano Ya Damu | Isaac Javan

IBADA YA UPONYAJI WA MOYO | MWL. ONESMO | 22 DECEMBER 2024.

UMENIPENDELEA, NASHANGAZWA NA REHEMA ZAKO | Swahili Worship Mix 2026

WORD OF THE DAY | Acts 23 | Prayer To Break Vows Of Destruction | Isaac Javan

KUOTA UNAOMBA USINGIZINI. WEWE NI M2 MWENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KUZUIA MATUKIO. PART 2 Subscribe

Morning Worship Songs 2026 ✝️ Best Praise & Worship Music | Daily Peace Playlist

50 MINUTES OF DEEP SWAHILI WORSHIP MIX | Wewe Uongezeke, Nifinyange, Salama Rohoni, Nisizame Uniokoe

NENO LA SIKU | Mathayo 20 | Maombi Ya Kufunguliwa Kwenye Kazi | Isaac Javan

MAOMBI YA KUSHINDA ROHO ZA MAGONJWA

MOTO WA MAOMBI | MWL ONESMO | 17 AUGUST 2025

USINIPITE BWANA - DEEP RELAX SWAHILI WORSHIP SONGS

WORD OF THE DAY | Acts 25 | Prayer for Appeal | Isaac Javan

SEMINA YA KUTENGWA NA ROHO ZA MIZIMU | SIKU YA 1 | 29 MAY 2026

EPUKA MAKOSA YA UTOAJI SADAKA | Isaac Javan

KUFIKIA KUSUDI LA MUNGU HAPA DUNIANI || PR PETER JOHN.

MAOMBI DHIDI YA MAZUIO KWENYE MAISHA | MWL ONESMO | 24 AUGUST 2025

TAREHE:::22/4/2026:::MGUSE MUNGU HIVI UTAONA MATOKEO YA MAOMBI YAKO || PR.DAVID MMBAGA

SOMO:ONYO LA MWISHO KWA ULIMWENGU.

