UFUGAJI WA NG'OMBE UNAVYOWANUFAISHA VIJANA

Kutana na kijana mjasiriamali Christopha Magese anayefuga ng'ombe kwa kuwanenepesha kisha kuwauza mnadani na kujipatia kipato kikubwa. kwake yeye anasema ujanja ni kujiajiri na kuwataka vijana kujikita katika kilimo biashara. Wasiliana na CHRISTOPHA kwa namba 0782 350, 862 ili ujifunze zaidi.