Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | G Chavallah | Sauti Tamu Melodies | Kwaresma|Nani Angesimama

Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, Nani angesimama, nani angesimama, nani angesimama mbele yako Lakini kwako kuna msamaha, ili wewe uogopwe Nimemngoja Bwana, roho yangu, na neno lake nimelitumaini Ee Bwana toka vilindini nimekulilia Bwana sauti yangu usikie, Masikio yako yasikie dua zangu Nafsi yangu inamngoja Bwana Kuliko walinzi, walinzi waingojavyo asubuhi Naam walinzi wangojavyo asubuhi wimbo wa kwaresma/lent/toba #SautiTamu #Zilipendwa #Kwaresma umeandaliwa na Martin Mutua Munywoki Umeimbwa na Sauti Tamu Melodies pata nyimbo za kwaresma kama vile Watumishi wake Baba, Amin Amin Nawaambia, Asilegee Moyowe, Nani angesimama, Pasipo makosa, Yesu Akalia, Kwa nini wasimama mbali na nyinginezo za Kikatoliki kupitia channel hii. Tafuta pia nyimbo nyingine kama Nimekukimbililia wewe, moyo wangu, Baba mikononi mwako, mwanzi uliopondeka, gusaneni majeraha, Yuda akarudi (nchi inazizima), umekosa nini Yesu, lakini hata sasa nirudieni mimi, nihurumie nimekosa, uturehemu ee Bwana, Mama Pale Msalabani, kwa ajili ya mateso makali, na nyinginezo kukamilisha playlist yako ya Kwaresma na Holy Week