KWAMSISI WAFURAHIA MRADI WA MAJI WA KWANZA TANGU UHURU
Wakazi wa kijiji cha Kwedikabu kata ya Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga wameishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwapelekea mradi mkubwa wa maji ambapo tangu uhuru hawajawahi kupata mradi kama huo. Akiongea kwenye ziara ya Mkuu wa wilaya ya Handeni ya kukagua miradi ya maendeleo kwenye kata ya Kwamsisi, wananchi hao wamesema tangu uhuru kijiji hicho hakijawahi kupata mradi kama huo wa maji hivyo ni ukombozi kwao.

▶︎
HOSPITALI ya BILIONI 6 YAJENGWA HANDENI VIJIJINI, MBUNGE SALLU ATINGA KUJIONEA...

▶︎
The Story about Kweditilibe in Handeni Tanga Tanzania

▶︎
MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"

▶︎
Exclusive KWAMSISI- Mji wa KUTISHA uliowatesa Watumishi wa Serikali kwa Uchawi, wengi wameteswa sana

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
AWESO ACHARUKA KWA MKANDARASI HANDENI, AMPA SIKU 7 KUFIKISHA MAJI KWA MSISI

▶︎
"NYIE WOTE NI WAHUNI, WAKAMATENI HAWA" AWESO ACHARUKA BAADA YA KUBAINI MADUDU KWAMSISI

▶︎
WAUMINI 700 TABORA, KIGOMA WAPATIWA MBINU ZA KUJITEGEMEA KIUCHUMI

▶︎
Wazee Kwamsisi Handeni waliamsha tena wamkataa mwekezaji, wataka ardhi yao.

▶︎
CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

▶︎
NHIF YAFAFANUA UTARATIBU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE, NAMNA INAVYOWAFUATA WATU

▶︎
Mvua yasababisha magari zaidi ya 100 kukwama Kilindi Tanga.

▶︎
🔴#Live: RAIS SAMIA AMEANZA ZIARA HANDENI - AKARIBISHWA na NYOMI LA WANANCHI - TANGA...

▶︎
Kimeumana Handeni Wazee wazuia mradi wa barabara hadi wafanye Tambiko

▶︎
Wananchi Handeni watuma salam kwa Rais Samia shida ya maji

▶︎
Wanaojenga mradi wa maji wa bilioni 1.9 Handeni walia ‘mauzauza’

▶︎
Man Rescues a Mother Bald Eagle Caught on a Fence – Her Chick Waits Below

▶︎
Watano washikiliwa kwa kuua na kisha kumtoboa macho mwanaume mmoja huko Tanga.

▶︎
Wawekezaji Handeni watishia kuondoka sababu ya kukatika umeme

▶︎
