130 WADAIWA KUPANGA NJAMA KUCHOMA SHULE

#HABARI: Wanafunzi zaidi ya 130 katika Shule ya Sekondari Milambo, iliyopo Manispaa ya Tabora, waliomaliza mitihani yao ya kidato cha sita iliyoanza Jumatatu ya Mei 5, mwaka huu wanatuhumiwa kupanga njama za kuchoma shule hiyo na kuandamana, baada ya kuzuiwa kufanya sherehe za kuhitimu masomo yao bila kujali kuwa kundi lingine la wanafunzi wa shule hiyo linaendelea kufanya mitihani. Baada ya kuvuja kwa taarifa za njama hizo zilizozua zintofahamu kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo shuleni hapo, Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa, Bw. Paulo Chacha na Wajumbe wa Kamati hiyo wakawasili haraka shuleni hapo na huku Mkuu wa Shule Mwalimu Shija Mashauri na Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Tabora, Mwalimu Benjamin Siperto, wanatanabaisha njama hizo na matukio mengine hatarishi ya wanafunzi hao. Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3 Twitter : https://bit.ly/2XG7aii Instagram : https://bit.ly/34KItmg

WANAFUNZI MILAMBO WATIMULIWA WAKITISHIA KUCHOMA SHULE
▶︎

WANAFUNZI MILAMBO WATIMULIWA WAKITISHIA KUCHOMA SHULE

"WAPANGA KUCHOMA SHULE",WATAHINIWA KIDATO CHA 6 ZAIDI 130 MILAMBO SEKONDARI WAONDOKA CHINI YA ULINZI
▶︎

"WAPANGA KUCHOMA SHULE",WATAHINIWA KIDATO CHA 6 ZAIDI 130 MILAMBO SEKONDARI WAONDOKA CHINI YA ULINZI

Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania
▶︎

Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania

MVUA DAR: WANAFUNZI WAKIVUSHWA KWA KUBEBWA MGONGONI
▶︎

MVUA DAR: WANAFUNZI WAKIVUSHWA KWA KUBEBWA MGONGONI

WANAFUNZI FORM 6 WALIOTAKA KUCHOMA MILAMBO SEKONDARI WADAKWA, RC AWAKA “WALIZIMA TAA SHULE NZIMA"
▶︎

WANAFUNZI FORM 6 WALIOTAKA KUCHOMA MILAMBO SEKONDARI WADAKWA, RC AWAKA “WALIZIMA TAA SHULE NZIMA"

Baadiyaha Muqdisho Ayaan Maalin dhan Ku noolaa.
▶︎

Baadiyaha Muqdisho Ayaan Maalin dhan Ku noolaa.

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI  KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

VURUGU MILAMBO SEC - MKUU wa MKOA AWATIMUA WANAFUNZI WALIODAIWA KUTISHIA KUCHOMA SHULE - WAKAMATWA..
▶︎

VURUGU MILAMBO SEC - MKUU wa MKOA AWATIMUA WANAFUNZI WALIODAIWA KUTISHIA KUCHOMA SHULE - WAKAMATWA..

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.. APRILI 15, 2025
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.. APRILI 15, 2025

WANAFUNZI WATISHIA KUCHOMA SHULE, WATAKIWA KUONDOKA CHINI YA ULINZI
▶︎

WANAFUNZI WATISHIA KUCHOMA SHULE, WATAKIWA KUONDOKA CHINI YA ULINZI

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

RAIS SAMIA ATOLEA MAJIBU SAKATA LA MARTHA KARUA ''KAMA KWAO WAMEDHIBITIWA WASIJE HUKU''
▶︎

RAIS SAMIA ATOLEA MAJIBU SAKATA LA MARTHA KARUA ''KAMA KWAO WAMEDHIBITIWA WASIJE HUKU''

IFAHAMU VIZURI MILAMBO SEKONDARI TABORA, WALIOSOMA HAPA MIAKA 50 ILIYOPITA WASIMULIA ILIVYOKUWA
▶︎

IFAHAMU VIZURI MILAMBO SEKONDARI TABORA, WALIOSOMA HAPA MIAKA 50 ILIYOPITA WASIMULIA ILIVYOKUWA

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION
▶︎

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION

Wanafunzi 19 mbaroni chunya kwa kutuhumiwa kuchoma mabweni ya shule ya sekondari kiwanja
▶︎

Wanafunzi 19 mbaroni chunya kwa kutuhumiwa kuchoma mabweni ya shule ya sekondari kiwanja

SAKATA LA WANAFUNZI KUCHOMA SHULE RC AINGILIAKATI "TUNALEA MAJAMBAZI, FORM SIX UNAVUA NGUO"
▶︎

SAKATA LA WANAFUNZI KUCHOMA SHULE RC AINGILIAKATI "TUNALEA MAJAMBAZI, FORM SIX UNAVUA NGUO"

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!
▶︎

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!