MIAKA 60 YA UHURU: MATESO, JASHO, HADI MWL NYERERE AKAHUKUMIWA KWENDA JELA, HISTORIA ITAKUGUSA SANA!

MIAKA 60 YA UHURU: MATESO, JASHO, HADI MWL NYERERE AKAHUKUMIWA KWENDA JELA, HISTORIA ITAKUGUSA SANA! Vijana wengi wa sasa hawajui kwamba mwaka 1958 wakati tunadai uhuru wa Tanganyika kutoka kwa Waingereza Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alishtakiwa kwa kosa la uchochezi na wakoloni. Nyerere alishitakiwa baada ya kuandika makala kwenye gazeti la chama cha Tanu enzi hizo lililoitwa ‘Sauti ya Tanu’. Katika kesi hiyo Nyerere alipatikana na hatia na kuhukumiwa kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Pauni 150 za Uingereza (sawa na shilingi 3,000 za Tanzania wakati huo). ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:    • GLOBAL COMEDY/MOVIES   ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline