MZEE ALIYEMFICHA NYERERE KWENYE KIHENGE NAMTUMBO

TAMASHA kubwa la kutangaza fursa mbalimbali zilizopo wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma linatarajia kufanyika kwa siku mbili kuanzia Septemba 22 hadi 23 mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya anazitaja baadhi ya fursa katika tamasha hilo ambalo limepewa jina la Namtumbo Kihenge ni kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya utalii kwa kuwa wilaya hiyo pia imebarikiwa kuwa na vivutio vya utalii wa kiikolojia,kihistoria na kiutamaduni. Analitaja eneo la kitongoji cha Mikulumo kata ya Luegu wilayani Namtumbo kuwa lina historia iliyotukuta hapa nchini kwa kuwa ni eneo ambalo alijificha baba wa Taifa Mwl.Julius Nyerere wakati anatafutwa na askari wa wakoloni katika harakati za kudai Uhuru kuanzia Novemba 24 hadi 25,1955. Anasema ili kulinda urithi wa eneo hilo serikali imeboresha mnara wa kumbukumbu ya Mwl.Nyerere na kwamba kati ya walinzi wanne waliomlinda Baba wa Taifa alipojificha katika eneo hilo mwaka 1955,walinzi watatu wamefariki lakini,mlinzi mmoja mzee Maulid Hassan mwenye umri wa miaka 90 bado yupo hai na anaishi jirani na mnara huo.

Théogène Manirakiza avuga ko yabonye ibimenyetso by'uko ashobora kugirirwa nabi | BBC News Gahuza
▶︎

Théogène Manirakiza avuga ko yabonye ibimenyetso by'uko ashobora kugirirwa nabi | BBC News Gahuza

I Visited The North Korea of Africa!(Eritrea)!
▶︎

I Visited The North Korea of Africa!(Eritrea)!

MAPYA YAUBUKA KIFO CHA MSAIDIZI WA HECHE,POLISI WATOA TAMKO HILI MUDA HUU
▶︎

MAPYA YAUBUKA KIFO CHA MSAIDIZI WA HECHE,POLISI WATOA TAMKO HILI MUDA HUU

RICHARD WA ARUSHA ALIYEDAIWA KUMBAKA MWANAE YABAINIKA SI KWELI, MTOTO APIMWA HOSPITALI MBILI TOFAUTI
▶︎

RICHARD WA ARUSHA ALIYEDAIWA KUMBAKA MWANAE YABAINIKA SI KWELI, MTOTO APIMWA HOSPITALI MBILI TOFAUTI

TAHARUKI! MTU MMOJA AMEFARIKI - WATU 7 WAMEJERUHIWA kwa MLIPUKO wa BARUTI MWANZA - KAMANDA AELEZA..
▶︎

TAHARUKI! MTU MMOJA AMEFARIKI - WATU 7 WAMEJERUHIWA kwa MLIPUKO wa BARUTI MWANZA - KAMANDA AELEZA..

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

YOGE Highlights Water Resource Management Challenges in Ruvuma
▶︎

YOGE Highlights Water Resource Management Challenges in Ruvuma

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..
▶︎

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

The rise of Xi Jinping, explained
▶︎

The rise of Xi Jinping, explained

CONSTRUCTION OF THE LUTUKIRA-SONGEA ROAD TO OPEN NEW ECONOMIC DOORS
▶︎

CONSTRUCTION OF THE LUTUKIRA-SONGEA ROAD TO OPEN NEW ECONOMIC DOORS

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers
▶︎

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

WANAHARAKATI : MJADALA MZITO KIFO CHA DEREVA WA JOHN HECHE MAPYA KUELEKEA MAANDAMANO 7/7
▶︎

WANAHARAKATI : MJADALA MZITO KIFO CHA DEREVA WA JOHN HECHE MAPYA KUELEKEA MAANDAMANO 7/7

They Didn't Like Her Look, But Then She Sang Like a Star! 🤩
▶︎

They Didn't Like Her Look, But Then She Sang Like a Star! 🤩

IRINGA WALIVYOADHIMISHA SIKU YA WAJANE
▶︎

IRINGA WALIVYOADHIMISHA SIKU YA WAJANE

Trump kicks off July 4th weekend with flight on controversial new Air Force One
▶︎

Trump kicks off July 4th weekend with flight on controversial new Air Force One

E vërteta e familjes për Tahir Zemajn | PRESSING | T7
▶︎

E vërteta e familjes për Tahir Zemajn | PRESSING | T7

Pres. Trump gives remarks ahead of first flight on new Air Force One
▶︎

Pres. Trump gives remarks ahead of first flight on new Air Force One

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Mwigulu Atangaza Mikutano ya Siasa Itarejea tena Tarehe 7 au 8 Mwezi wa Saba "Lakini Tutalinda Amani
▶︎

Mwigulu Atangaza Mikutano ya Siasa Itarejea tena Tarehe 7 au 8 Mwezi wa Saba "Lakini Tutalinda Amani