SAKATA LA ARDHI CHEMBA, KITETO LAZUA MJADALA, SPIKA ATOA NENO
DODOMA: MJADALA mzito umeibuka bungeni leo Januari 29 wakati Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Pinda alipoliambia Bunge kuwa malalamiko ya wananchi 1,000 wa kata za Mrijo na Jangalo yalishafanyiwa kazi na Serikali kupitia Ofisi za Wakuu wa Wilaya za Chemba na Kiteto mwaka 2015/16 na mwaka 2023 ambapo eneo wanalodai wananchi kuwa ni ardhi yao kwa ajili ya kilimo lilishabainishwa kuwa lipo Wilaya ya Kiteto, Mkoa wa Manyara. Majibizano hayo yaliingiliwa kati na Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson kufuatia swali lililoulizwa na Mbunge wa Chemba, Mohamed Lujuo Monni aliyetaka kujua lini mashamba hayo yatarudishwa kwa wananchi ili kazi za kilimo ziendelee. Imeandaliwa na Adam Lutta Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

MBUNGE CHEMBA AIBANA SERIKALI,NI KUHUSU UMEME JIMBONI KWAKE

Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni, mnyukano mkali watokea

"Kwanini unachukua mashamba ya watu?, wanakufa sababu ni viongozi, wanabambikiwa kesi" Monni

BASHE AWAVAA TRA, WAKULIMA KUTUMIA EFD

FAHAMU HISTORIA YA WAZIRI WA FEDHA NDANI YA BOT

MBUNGE KUNTI MAJALA ACHUKIZWA, AMVAA WAZIRI "HAIWEZEKANI WANALIPWA SAWA", AWAPIGANIA MAASKARI

MBUNGE KITETO ALIVYOZUNGUMZIA MIGOGORO KATIKA UWASILISHAJI BAJETI WIZARA YA ARDHI

KUMEKUCHA SASA: MBUNGE WA JIMBO LA KITETO AFICHUA SIRI YA DC WAKE

ILI KUKOMESHA UBADHIRIFU TAMISEMI WAONDOLEWE KUKUSANYA PESA,TRA IFANYE KAZI HIYO - MBUNGE TABASAMU

Ruto BLOW over COOL Rigathi Reception in Kisumu as he HOLDS Electrifying Rally in Luanda

"BABA HAKUWA KWENYE HALI NZURI - PRESHA ILIKUWA JUU SANA" - MTOTO wa MZEE ONYANGO kwa UCHUNGU....

"Kaka, Hatutaelewana" | Bila uoga Mbunge MAJALA amvaa WAZIRI wa UJENZI |

BARABARA YA HANDENI - KIBERASHI -SINGIDA IJENGWE KWA UBIA - SAMIA

Tazama Mbunge ‘AMNG’ATA SIKIO’ Waziri Mchengerwa

Kamati ya Bunge Yaibana Halmashauri Kiteto

MGOGORO wa ARDHI KITETO WAZUA GUMZO BUNGENI - NAIBU WAZIRI ABANWA VIKALI na SPIKA TULIA....

BUNGE LIVE | MKUTANO WA 18 | KIKAO CHA 10 | MASWALI , MAJIBU | 10/02/2025

DAH! MBUNGE WA KITETO NI MWANAFUNZI WA KWANZA "KITETO SEC"

MGOGORO KITETO, TIMU YAUNDWA KUWABAINI WAMILIKI MASHAMBA.

