BASHE AWAVAA TRA, WAKULIMA KUTUMIA EFD

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewaonya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowalazimisha wakulima kuwa na mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) kwa sababu hakuna sheria iliyopitishwa na Bunge inayowalazimu kufanya hivyo. Bashe ameyasema hayo leo Aprili 15,2025 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26. Mjadala huo ulianza Aprili 9,2025 baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuomba kuidhinishiwa na Bunge Sh782.08 bilioni kwa mwaka 2025/26 kwa ajili ya ofisi yake, taasisi zake na Mfuko wa Bunge. Video na Hamis Mniha

HOTUBA KALI YA WAZIRI BASHE BUNGENI! ATEMA NONDO AWATAJA NYERERE NA MAGUFULI
▶︎

HOTUBA KALI YA WAZIRI BASHE BUNGENI! ATEMA NONDO AWATAJA NYERERE NA MAGUFULI

Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe
▶︎

Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe

Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha
▶︎

Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha

BASHE AWAKA MBELE YA RAIS SAMIA"NASEMAGA HADHARANI, HIZI DATA SIYO SAHIHI ,UKAWA MJADALA"
▶︎

BASHE AWAKA MBELE YA RAIS SAMIA"NASEMAGA HADHARANI, HIZI DATA SIYO SAHIHI ,UKAWA MJADALA"

#LIVE: BUNGE LA BAJETI TANZANIA, WABUNGE WAWABANA MASWALI MAWAZIRI. 09/06/2026
▶︎

#LIVE: BUNGE LA BAJETI TANZANIA, WABUNGE WAWABANA MASWALI MAWAZIRI. 09/06/2026

Bite by’umushahara fatizo mu Rwanda? || Minisitiri w’Intebe yavuze igikenewe
▶︎

Bite by’umushahara fatizo mu Rwanda? || Minisitiri w’Intebe yavuze igikenewe

WAZIRI BASHE ASISIMUA BUNGE kwa NONDO NZITO - AMTAJA MBUNGE BASHIRU ALLY HADHARANI...
▶︎

WAZIRI BASHE ASISIMUA BUNGE kwa NONDO NZITO - AMTAJA MBUNGE BASHIRU ALLY HADHARANI...

“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” – Bashe
▶︎

“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” – Bashe

CONDEMNED ||Igoti gukindira kuhagurwo gwa Rigathi Gachagua ta DP na gwatha Senate imurihe mirioni 50
▶︎

CONDEMNED ||Igoti gukindira kuhagurwo gwa Rigathi Gachagua ta DP na gwatha Senate imurihe mirioni 50

DON'T DARE KENYANS,WE DONT WANT THAT FACILITY LET USA TAKE IT TO THEIR COUNTRY.Ndindi Nyoro on Ebola
▶︎

DON'T DARE KENYANS,WE DONT WANT THAT FACILITY LET USA TAKE IT TO THEIR COUNTRY.Ndindi Nyoro on Ebola

BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
▶︎

BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa

KIMEUMANA! BASHE AMVAA HALIMA MDEE “USINILISHE MANENO ,UMECHANGIA", SPIKA AINGILIA KATI
▶︎

KIMEUMANA! BASHE AMVAA HALIMA MDEE “USINILISHE MANENO ,UMECHANGIA", SPIKA AINGILIA KATI

MBUNGE WA CCM ALILIA HAKI "NIKISHINDWA UCHAGUZI MSIIBE KURA KUNIONGEZEA, NAPENDA HAKI KULIKO AMANI"
▶︎

MBUNGE WA CCM ALILIA HAKI "NIKISHINDWA UCHAGUZI MSIIBE KURA KUNIONGEZEA, NAPENDA HAKI KULIKO AMANI"

BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE
▶︎

BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE

WAZIRI BASHE AFOKA BUNGENI - AIBUA SHANGWE - ''HAYA SIYO MAELEKEZO ya CCM WAKILIMA KUWA na EFD''...
▶︎

WAZIRI BASHE AFOKA BUNGENI - AIBUA SHANGWE - ''HAYA SIYO MAELEKEZO ya CCM WAKILIMA KUWA na EFD''...

WAZIR KITWANA Alivyomjibu  MHe, SIMAI ATUMIA DAKIKA 8 KUMUELEWESHA
▶︎

WAZIR KITWANA Alivyomjibu MHe, SIMAI ATUMIA DAKIKA 8 KUMUELEWESHA

WAZIRI BASHE ATOA AGIZO KALI KWA MENEJA WA AMCOS/MKAMATENI MUWEKE NDANI HAWEZI KULA HELA YA WAKULM
▶︎

WAZIRI BASHE ATOA AGIZO KALI KWA MENEJA WA AMCOS/MKAMATENI MUWEKE NDANI HAWEZI KULA HELA YA WAKULM

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU
▶︎

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU

Gachagua's Impeachment: Impeachment UPHELD, But Court Awards Ksh50M for VIOLATED RIGHTS!
▶︎

Gachagua's Impeachment: Impeachment UPHELD, But Court Awards Ksh50M for VIOLATED RIGHTS!

“Nasema haiwezekani tunaadhibu wananchi” –Hussein Bashe
▶︎

“Nasema haiwezekani tunaadhibu wananchi” –Hussein Bashe