BASHE AWAVAA TRA, WAKULIMA KUTUMIA EFD
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewaonya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowalazimisha wakulima kuwa na mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) kwa sababu hakuna sheria iliyopitishwa na Bunge inayowalazimu kufanya hivyo. Bashe ameyasema hayo leo Aprili 15,2025 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26. Mjadala huo ulianza Aprili 9,2025 baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuomba kuidhinishiwa na Bunge Sh782.08 bilioni kwa mwaka 2025/26 kwa ajili ya ofisi yake, taasisi zake na Mfuko wa Bunge. Video na Hamis Mniha

▶︎
HOTUBA KALI YA WAZIRI BASHE BUNGENI! ATEMA NONDO AWATAJA NYERERE NA MAGUFULI

▶︎
Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe

▶︎
Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha

▶︎
BASHE AWAKA MBELE YA RAIS SAMIA"NASEMAGA HADHARANI, HIZI DATA SIYO SAHIHI ,UKAWA MJADALA"

▶︎
#LIVE: BUNGE LA BAJETI TANZANIA, WABUNGE WAWABANA MASWALI MAWAZIRI. 09/06/2026

▶︎
Bite by’umushahara fatizo mu Rwanda? || Minisitiri w’Intebe yavuze igikenewe

▶︎
WAZIRI BASHE ASISIMUA BUNGE kwa NONDO NZITO - AMTAJA MBUNGE BASHIRU ALLY HADHARANI...

▶︎
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” – Bashe

▶︎
CONDEMNED ||Igoti gukindira kuhagurwo gwa Rigathi Gachagua ta DP na gwatha Senate imurihe mirioni 50

▶︎
DON'T DARE KENYANS,WE DONT WANT THAT FACILITY LET USA TAKE IT TO THEIR COUNTRY.Ndindi Nyoro on Ebola

▶︎
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa

▶︎
KIMEUMANA! BASHE AMVAA HALIMA MDEE “USINILISHE MANENO ,UMECHANGIA", SPIKA AINGILIA KATI

▶︎
MBUNGE WA CCM ALILIA HAKI "NIKISHINDWA UCHAGUZI MSIIBE KURA KUNIONGEZEA, NAPENDA HAKI KULIKO AMANI"

▶︎
BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE

▶︎
WAZIRI BASHE AFOKA BUNGENI - AIBUA SHANGWE - ''HAYA SIYO MAELEKEZO ya CCM WAKILIMA KUWA na EFD''...

▶︎
WAZIR KITWANA Alivyomjibu MHe, SIMAI ATUMIA DAKIKA 8 KUMUELEWESHA

▶︎
WAZIRI BASHE ATOA AGIZO KALI KWA MENEJA WA AMCOS/MKAMATENI MUWEKE NDANI HAWEZI KULA HELA YA WAKULM

▶︎
🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU

▶︎
Gachagua's Impeachment: Impeachment UPHELD, But Court Awards Ksh50M for VIOLATED RIGHTS!

▶︎
