Mgogoro wa mpaka wazinyima wilaya za Tandahimba na Masasi huduma muhimu za kijamii
Zaidi ya kaya 1,000 zilizopo katika kitongoji cha Magalo kijiji cha Chiwale wilaya Masasi mkoani Mtwara kimeulalamikia uongozi wa wilaya za Nachingwea ya Lindi na Masasi iliyopo Mtwara kwa ukosefu wa huduma za jamii kufuatia uwepo wa mgogoro wa mpaka baina ya wilaya hizo. Wananchi hao wamesema kuwa tume iliyoundwa kuchunguza mipaka ya eneo hilo imechelewa kutoa taarifa ya mipaka kati ya wilaya hizo hali inayochangia ukosefu wa huduma muhimu za kijamii.

▶︎
FAHAMU CHIMBUKO LA WILAYA YA WANGING'OMBE, MAKABILA NA VIJIJI VYAKE| CHETU NI CHETU

▶︎
RAIS SAMIA ATATUA MGOGORO GEREZA KING'ANG'A NA KIJIJI CHA KINGALE WILAYANI KONDOA

▶︎
WAKULIMA WAKATAA KUUZA KOROSHO KILO MILION 6.5 MASASI

▶︎
AFYA || Hospitali ya Wilaya Mkinga mbioni kukamilika, kuhudumia zaidi ya wagonjwa laki moja

▶︎
TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

▶︎
#TBC: JIMBO LANGU - LIFAHAMU JIMBO LA TANDAHIMBA NA FURSA ZILIZOPO

▶︎
‘SAFISHA GHALA’ NI MATESO KWA WANAWAKE TANDAHIMBA

▶︎
SENSA || Tafsiri ya takwimu za sensa kwa upande wa uchumi na mgawanyiko wa watu kwa maendeleo

▶︎
IFAHAMU SIRI NZITO YA KIJIJI CHA MSIMBATI MTWARA

▶︎
Katani Katani ataka Wabunge wote WAPIMWE "Tunajua kwamba wamo, wakamatwe wanyongwe"

▶︎
ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI RUANGWA MKOA WA LINDI.

▶︎
BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA MASASI ILIYOKATIKA

▶︎
WANANCHI WA TANDAHIMBA WASHINDWA KUSHIRIKI MAZISHI BAADA YA FAMILIA KUTORUHUSU

▶︎
🔴#LIVE Masasi: ANAPOISHI MAMA WA 'MBONA HAONGEI, UKOROFI' AFUNGUKA WANAE KUMTENGA Kisa CLIP YAKE...

▶︎
Daraja lawaunganisha wakazi wa Ruangwa, Masasi

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
CCM MKOANI MTWARA YAZINDUA RASMI KAMPENI KATIKA JIMBO LA TANDAHIMBA| KATANI ATEMA CHECHE

▶︎
MHE. RAIS SAMIA AKIWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA YA RUANGWA – NANGANGA (KM 53.3)

▶︎
🔴#TBCLIVE: RAIS SAMIA AKIWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA YA RUANGWA -NANGANGA

▶︎
