CCM MKOANI MTWARA YAZINDUA RASMI KAMPENI KATIKA JIMBO LA TANDAHIMBA| KATANI ATEMA CHECHE
Wagombea mbalimbali wa ubunge kutoka Mkoa wa Mtwara, Leo Septemba 01, 2025, wamekutana katika Kata ya Maundo Wilaya ya Tandahimba Mkoani humo, Kwa lengo la kuzindua Kampeni za Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwezi Oktoba Mwaka huu. Kama unavoona Wagombea hao pamoja na Wagombea wa Udiwani kutoka Kata za Mkoa huo, wanafurahia uwepo wa hafla hiyo ambayo ni Daraja la baadhi yao kuwapeleka Halmashauri kwa nafasi ya Udiwani na wengine kuwapeleka Bungeni endapo watashinda. Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo, ni Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa, Mwl. Saidi Nyengedi. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU.

▶︎
"HARMONIZE HAJASHAURIWA VIZURI/ TANDAHIMBA YA SASA KAMA QATAR" - MBUNGE WA TANDAHIMBA

▶︎
🔴#TBCLIVE: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM - MTWARA

▶︎
WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

▶︎
Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

▶︎
MBUNGE KATANI AMALIZA KILA KITU MBELE YA RAIS, "UTACHUKUA KURA ZOTE, WAO WATATUSAIDIA KUHESABU"

▶︎
Agasarabwayi, Kick ... inzoga zananiranye gutuzwa mu burundi| BBC News Gahuza

▶︎
"TUNAMTAKA DIWANI WETU" WANACHAMA WA CCM KATA YA MSIMBATI MTWARA WAPAZA SAUTI

▶︎
Bandari ya Mtwara itakavyokuwa baada ya kukamilika

▶︎
🅻🅸🆅🅴 KAMPENI ZA DKT. SAMIA ZINAENDELEA MASASI, MTWARA MUDA HUU

▶︎
FULL VIDEO: HOTUBA YA KIKWETE UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM KAWE/ AWAJIBU VIKALI WANAOPINGA UTEUZI...

▶︎
🔴#TBCLIVE: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM - MANYONI

▶︎
“AMENENA MAZITO! Heche alivyolipuka baada ya mikutano ya kisiasa kuzuiwa tena! (Inasikitisha) 😭”

▶︎
JOEL NANAUKA APOKELEWA KWA KISHINDO MTWARA| AELEZA MIPANGO YAKE KUELEKEA UBUNGE

▶︎
HECHE APIGA NONDO NZITO MTWARA//ASHANGAA WABUNGE WA CCM KUSEMA HELA ZA SAMIA

▶︎
WAITARA AIBUA MAPYA KUHUSU FATMA KARUME/AMEWANDANGA WENGI"YULE KIJANA NI MUONGO NA MBINAFSI"

▶︎
Opening Speech for World Maritime Day

▶︎
"BORA NIKOSE MIMI KURA NA SIO DKT SAMIA" ASEMA MBUNGE WA TANDAHIMBA MHE KATANI | MADIWANI WAMPONGEZA

▶︎
China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

▶︎
Standard Media responds to President Ruto's blackmail claims

▶︎
