Salama Na BILLNASS SE6 EP57 | MJUKUU PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 Katika pita pita zangu siku si nyingi nilimsikia mtu akimzungumzia mgeni watu wa wiki hii kwamba ni ‘Jay Z’ wa Bongo na si kwasababu kamuoa mmoja wa wasanii hodari wa kike na ambao wako juu ki muziki, ila pia akili yake ya kibiashara kwa kiasi kikubwa imemfanya yeye aone hivyo. Kwa ufahamu wangu niliambiwa na kushuhudia suala la maneno na mawazo ‘kuumba’. Pale mtu au watu wanapo kuona na ukichanganya na juhudi zako na nia na madhumuni ya wewe kutaka kufika pale basi mengine kutimia huwa ni suala la wakati tu. Hivyo pia ndivyo ambavyo mimi namuona Ndugu William Nicholaus Lyimo almaaruf Bill Nass. Mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho ni miaka kama sita au saba iliyopita wakati nafanya kipindi cha Ngaz kwa Ngaz special edition. Ambacho mimi na Josh Murunga tulikua tunafanya ilikua kuwapa nafasi wasanii hodari kuwa ma host wa countdown hiyo ya ngoma zao kali 20 kwa wakati huo na kuzitolea maelezo yake. Kwa Bill Nass ilikua kama kumtafuta Kuku tu, yaani RAHISI sana. Alikua natural wataalam wanasema, kuanzia matamshi (haya wengi huwashusha hadhi kwa kiasi flani) mpaka swagg ambayo mtangazaji anatakiwa awe nayo kwake ilikua ipo. Kuvaa kwake, kuheshimu wakati na kuskiliza maelekezo na kisha kuyafanyia kazi ilikua 100, na mimi kwenye hili nilikua mtazamaji tu, kazi kubwa aliifanya Ndugu Josh akiwa kama Director. Yangu matumaini Bill Nass siku moja atataka kufanya kitu kama kile maana kitamfaa mno na itakua moja ya income zake nyingi ambazo anazo. Kwake yeye kuamua kumuoa mmoja ya wasanii hodari wa kike ambaye ana mashabiki wengi na pengine wengi wao ni wanaume nadhani lilikua si amuzi mdogo kwao wote wawili. Wawili hawa mahusiano yao yalikua hadharani kwa sote kuyaona na kuwa na maoni nayo. Kuanzia ku leak kwa video yao ya faragha mpaka mahusiano ya mkewe na Marehemu Ruge, kila kitu kilikua nje nje. Je haya yaliathiri au kuyajenga mahusiano yao kwa kiasi gani? Vipi kuhusu suala la Marehemu Godzilla ambaye kulikua na shutma kwamba alikua anauiga style yake na baadhi ya Radio zilikua zinampa nafasi yeye ili kumficha Zilla? Na je suala la kifo chake ambalo lilimleta yeye karibu na mtoto wa Zilla? Hii ilikua inamsumbua vipi wakati watu wanasema hivyo? Na je alikua anaona jinsi ambavyo ilikua inamsumbua Zilla? Ukiachana na muziki Nenga pia ni mfanyabiashara mzuri tu ambaye amekua akitumia jina lake ipasavyo ili kuweza kujitengenezea kipato cha pembeni ambacho ni cha uhakika zaidi kuliko mziki ambao anafanya. Nna uhakika na yeye anajua kwamba ana uhakika wa kuuza electronics zaidi kwa mara nyingi kuliko uhakika wa kuwa na hit song nyingi kwa mwaka. Na hiyo haimaanishi kama yeye si msanii HODARI ila zaidi kwenye suala la wimbo kuwa mzuri lakini watu wasiupokee kama matarajio yanavyokua. Humu pia tulichambua kiasi kuhusu jina lake ambalo amelirithi. Majukumu, biashara, mapenzi, urafiki, usia na familia. Ningependa u enjoy kama ambavyo sisi tu enjoy wakati tunaongea. Love, Salama. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Salama Na BILLNASS SE6 EP57 | MJUKUU PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na BILLNASS SE6 EP57 | MJUKUU PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
▶︎

Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel

KOMBE LA DUNIA: FAHAMU KUHUSU KOMBE LA DUNIA #fyp  #fypage
▶︎

KOMBE LA DUNIA: FAHAMU KUHUSU KOMBE LA DUNIA #fyp #fypage

MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE  MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO  TABORA
▶︎

MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO TABORA

𝐋𝐈𝐕𝐄🔴 : USIKU WA SEND OFF YA NANDY (THE AFRICAN PRINCESS) | GOLF CLUB
▶︎

𝐋𝐈𝐕𝐄🔴 : USIKU WA SEND OFF YA NANDY (THE AFRICAN PRINCESS) | GOLF CLUB

FARID KUBANDA ( FID Q ) - DEVELOPMENT, CITIZENS, MUSIC, AI. ( MINDSET S01E04 )
▶︎

FARID KUBANDA ( FID Q ) - DEVELOPMENT, CITIZENS, MUSIC, AI. ( MINDSET S01E04 )

MIRAJI|TIMU IMEWEKWA KAMBI YA NYOKA|SENEGAL KAMA WEZI|DUA ZA SIMBA KUWA BINGWA MSIMU HUU NI NGUMU😂
▶︎

MIRAJI|TIMU IMEWEKWA KAMBI YA NYOKA|SENEGAL KAMA WEZI|DUA ZA SIMBA KUWA BINGWA MSIMU HUU NI NGUMU😂

1 HOUR DEEP SWAHILI WORSHIP MIX | Haufananishwi, Unastahili Kuabudiwa, Ebenezer, Cha Kutumaini Sina
▶︎

1 HOUR DEEP SWAHILI WORSHIP MIX | Haufananishwi, Unastahili Kuabudiwa, Ebenezer, Cha Kutumaini Sina

DAVID MULOKOZI | THE LEGEND SHOW EPISODE 8
▶︎

DAVID MULOKOZI | THE LEGEND SHOW EPISODE 8

Padre Dkt Kamugisha: Usiogope mabaya/ Kila kitu kina sababu yake/ Ukitafuta makosa haufanyi mambo
▶︎

Padre Dkt Kamugisha: Usiogope mabaya/ Kila kitu kina sababu yake/ Ukitafuta makosa haufanyi mambo

EXCLUSIVE: JUX AONGEA YOTE KUHUSU KUACHANA NA KAREN, AJIBU YA JACKLINE CLIFF NA MENGINE - PART ONE
▶︎

EXCLUSIVE: JUX AONGEA YOTE KUHUSU KUACHANA NA KAREN, AJIBU YA JACKLINE CLIFF NA MENGINE - PART ONE

Salama Na VANNY BOY Ep 54 | NDAGHA PART 1
▶︎

Salama Na VANNY BOY Ep 54 | NDAGHA PART 1

PART II: BILLNASS: "BOSS RUGE ALINIPIGIA SIMU, NAMBA NAIJUA, NILIM-BLOCK NANDY"
▶︎

PART II: BILLNASS: "BOSS RUGE ALINIPIGIA SIMU, NAMBA NAIJUA, NILIM-BLOCK NANDY"

🙏 2+ Morning  Kiswahili Worship Songs |Nonstop Swahili Worship Mix for Prayer, Meditation & Healing
▶︎

🙏 2+ Morning Kiswahili Worship Songs |Nonstop Swahili Worship Mix for Prayer, Meditation & Healing

LIVE: Breakfast kwa Joseph Musukuma I Mbunge wa Geita Vijijini I Jambo Kubwa I Musukuma Anaongea
▶︎

LIVE: Breakfast kwa Joseph Musukuma I Mbunge wa Geita Vijijini I Jambo Kubwa I Musukuma Anaongea

🅻🅸🆅🅴..........JOHN HECHE, PETER MSIGWA WANAUNGURUMA MUDA HUU
▶︎

🅻🅸🆅🅴..........JOHN HECHE, PETER MSIGWA WANAUNGURUMA MUDA HUU

KISUGU ACHARUKA AMVAA KOCHA JULIO/AMEFURAHIA KUFUNGWA NA YANGA/AICHAMBUA VIDEO YA JULIO/
▶︎

KISUGU ACHARUKA AMVAA KOCHA JULIO/AMEFURAHIA KUFUNGWA NA YANGA/AICHAMBUA VIDEO YA JULIO/

90s 2000s OLD SCHOOL R&B MIX 💽 Party Classics – Usher, Ne-Yo, Rihanna, Chris Brown
▶︎

90s 2000s OLD SCHOOL R&B MIX 💽 Party Classics – Usher, Ne-Yo, Rihanna, Chris Brown

Hemedy PHD - Mwamposa, Mungu wetu ni mmoja! Shekh Said, Nikifa, naenda Kanisani! Part 1
▶︎

Hemedy PHD - Mwamposa, Mungu wetu ni mmoja! Shekh Said, Nikifa, naenda Kanisani! Part 1