CHAWA NA KUNGUNI: Kujitibu mwenyewe nyumbani

DR.MNIKO #MNIKO #DR.MNIKO Chawa na kunguni wanapatikana katika familia nyingi. Kwa hali nyingi ni wasumbufu tu ila kuna wakati wanaweza kuharibu kabisa mfumo wa maisha ya wana familia. Chawa Chawa ni wadogo na mara nyingi si rahisi kuwaona kwa macho. Huwa ni rahisi zaidi kuona mayai yao yakiwa kkwenye pindo za nguo. Utayaona haya mayai katika makundi meupe kwenye unywele au nguo. Ukiumwa na chawa wanakusababishia panabakia kuwa pekundu, ila ukijikuna inasababisha hali kuwa mbaya zaidi. Ukiwa unawashwa na tuvidonda tudogotudogo kwenye mashina ya nywele ndio ishara kubwa ya kuwa na chawa. Chawa wanaokuwa kwenye nywele za sehemu za siri wanaweza kuambukizwa wakati wa tendo la kujamiiana. Tofauti na ugonjwa wa kaswende na kisonono, chawa wanaweza kusambazwa kwa kutumia choo kimoja cha kukalia, matandiko ya kulalia, vitanana vya nywele n.k. Kuna aina nyingine ya chawa wanaweza kuishi kwenye nywele za kichwani. Ukiwaangalia aina ya chawa wa sehemu za siri wanatofautia na chawa wanaoishi kwenye nywele za kichwani. Chawa wanapenda kuwa karibu na mwili ili kupata joto na hawawezi kukaa kwenye nguo ambayo haijavaliwa kwa muda mrefu, kwenye matandiko au eneo jingine. Kunguni Kunguni mkubwa ni bapa, hana mabawa, ana rangi nyekundu kiasi, ni mviringo kwa umbo na ana urefu kama mm 6. Kama ilivyo kwa chawa wanaishi kwa kunyonya damu. Tofauti na ilivyo kwa chawa wananyonya damu kwa dakika 10 mpaka 15 kwa wakti mmoja na muda uliobakiwa wanautumia kujificha kwenye kingo za kitanda na nyufa za kuta. Kunguni kwa kawaida wananyonya damu usiku, hii ni kwa sababu, wakati huu ndio watu huwa wamelala, ila pia kunguni hawapendi mwanga kabisa. Kumkuta kunguni akizurura nje ni nadra sana. Moja ya njia ni kuingia chumbani usiku, zima taa kisha jifanye umelala, kisha amka haraka uwashe taa, uwakute wakiwa kwenye harakati ya kukaribia chakula chao. Kunguni akikuuma anaacha uvimbe unaoonekana kwenye ngozi. Kwa kawaida utakuta viuvimbe viwili au vitatu. Kuna baadhi ya watu wakiumwa na kunguni wanawashwa na kujikuna sana. Mambo ya kufanya ukiwa nyumbani kama una chawa na kunguni Zipo dawa za kuua chawa, nenda dukani nunua dawa kisha fuata maelekezo ya bidhaa hiyo kuondoa chawa. Kwa chawa wa nywele zipo shampoo zenye dawa ya kuua chawa, nunua moja kisha itumie kwa kufuatilizia maelekezo ya bidhaa yenyewe. Kwa chawa walio sehemu za siri, nyoa nywele sehemu za siri, tumia dawa ya chawa kuua chawa walio kwenye nguo na matandiko. Hakikisha unafuata maelekezo ya matumizi ya dawa hizi. Kwa sababu kunguni hawaishi kwenye mwili au kwenye nguo, unapaswa kutibu kitanda na chumba chako. Zipo dawa za kuua kunguni za kupuliza unazoweza kutumia, lakini hata kutoa nje kitanda chenye kunguni na kukiweka juani ili kipate hewa kwa siku kadhaa husaidia sana pia.

Je, unasumbuliwa na maumivu ya nyonga? Sababu na matibabu |
▶︎

Je, unasumbuliwa na maumivu ya nyonga? Sababu na matibabu |

UGONJWA WA TETEKUWANGA: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia
▶︎

UGONJWA WA TETEKUWANGA: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia

NAMNA YA KUPIGA MSWAKI KWA USAHIHI ILI KUBORESHA AFYA YA KINYWA NA MENO - DR SOSPETER #afya
▶︎

NAMNA YA KUPIGA MSWAKI KWA USAHIHI ILI KUBORESHA AFYA YA KINYWA NA MENO - DR SOSPETER #afya

KUFUNGA CHOO (KINYESI KIGUMU AU KUKOSA CHOO KABISA): Kujitibu mwenyewe nyumbani
▶︎

KUFUNGA CHOO (KINYESI KIGUMU AU KUKOSA CHOO KABISA): Kujitibu mwenyewe nyumbani

7 Bed Bug Facts Every Wisconsin Homeowner Needs to Know
▶︎

7 Bed Bug Facts Every Wisconsin Homeowner Needs to Know

UFAHAMU UGONJWA WA KOO, DALILI NA MATIBABU YAKE, "UGORO UNAWEZA KUSABABISHA SARATANI" - DR. KIMWAGA
▶︎

UFAHAMU UGONJWA WA KOO, DALILI NA MATIBABU YAKE, "UGORO UNAWEZA KUSABABISHA SARATANI" - DR. KIMWAGA

MTINDIO WA UBONGO: Sababu, Dalili, Matibabu
▶︎

MTINDIO WA UBONGO: Sababu, Dalili, Matibabu

Why Don’t 5 Star Hotels Have Bed Bugs  The $1 Secret Hidden Under Every Mattress
▶︎

Why Don’t 5 Star Hotels Have Bed Bugs The $1 Secret Hidden Under Every Mattress

Incredibly tasty spaghetti ready in 10 minutes! A quick, delicious pasta dinner recipe!
▶︎

Incredibly tasty spaghetti ready in 10 minutes! A quick, delicious pasta dinner recipe!

UROLOGIST REVEALS: How to drink WATER to AVOID WAKING UP at night?
▶︎

UROLOGIST REVEALS: How to drink WATER to AVOID WAKING UP at night?

MTOTO NJITI (Amewahi kuzaliwa): Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia
▶︎

MTOTO NJITI (Amewahi kuzaliwa): Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia

UGONJWA WA SONONA: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia
▶︎

UGONJWA WA SONONA: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia

كيف ترفع فيتامين D و B12 بسرعة وتتخلص من آلام العظام والمفاصل نهائياً | د. حيات
▶︎

كيف ترفع فيتامين D و B12 بسرعة وتتخلص من آلام العظام والمفاصل نهائياً | د. حيات

MDOMO SUNGURA (Mdomo wazi): Sababu, Dalili, Matibabu
▶︎

MDOMO SUNGURA (Mdomo wazi): Sababu, Dalili, Matibabu

Restore Old Headlights to NEW in 1 Minute with Old Batteries! Genius Trick
▶︎

Restore Old Headlights to NEW in 1 Minute with Old Batteries! Genius Trick

CHAWA WA NYWELE KICHWANI:JINSI YA KUWAONDOA /KUWATOA 💨Sababu, matibabu na kuzuia tatizo
▶︎

CHAWA WA NYWELE KICHWANI:JINSI YA KUWAONDOA /KUWATOA 💨Sababu, matibabu na kuzuia tatizo

Deutschland – Elfenbeinküste Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Deutschland – Elfenbeinküste Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

Restore Old Headlights to NEW in 1 Minute with Old Batteries! Genius Trick
▶︎

Restore Old Headlights to NEW in 1 Minute with Old Batteries! Genius Trick

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass
▶︎

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass